figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,724
- 55,906
- Thread starter
-
- #13,601
Kwenye mahandaki ya WarusiUnazitoa wapi hizo video?
Dah! Very patheticBakhmut ilionekana ni ndogo, lakini Warusi 70,000 wamekwenda na Maji ndani ya hii miezi 11 ya kutaka kuiteka
Nguvu za Bakhmut tuzipeleke kwingine tu. Hatuna chetu tena. Ardhi ishatekwa kimabavu. Huu ni ukoloni. Ila hawatadumu Bakhmut.
View attachment 2628144
Hebu cheki na Putin atakuwa anajua.Anayejua kuhusu vifalu vya Leopard na Ablams vilipo atujuze manake sijasikia ufanisi wake uwanja wa vita.
Mbona tusha anza kuwa zunguka huku wao wakiwa katiBakhmut hatuna chetu. Kabda tusubiri counterattack ambayo naona tunategeana. Frontline wamesonga mita 500 tu kwa siku 3. Too bad. Ila Urusi inapelekewa moto. Hawatakaa kwa amani
View attachment 2628137
Hawatakaa kwa amaniMbona tusha anza kuwa zunguka huku wao wakiwa kati
Be seriousMbona tusha anza kuwa zunguka huku wao wakiwa kati
Slava Ukraine [emoji1255]
Slava Ukraine 🇺🇦
Slava Ukraine [emoji1255]
Slava Ukraine [emoji1255]Vijana wa Moscow wanajuta
View attachment 2628078
Slava Ukraine [emoji1255]
Slava Ukraine [emoji1255]Majeshi ya Ukriane yakiondoa mitambo na mifumo yake Bakhmut. Maana yake wanarudi nyuma kujipanga upya
View attachment 2628146
Slava Ukraine [emoji1255]Nina imani kubwa na jeshi la Ukraine. Hii Bakhmut Warusi hawatakaa. Ngoja tuone hadi jumanne inakuaje..
Mungu ibariki Ukraine
View attachment 2628164
Slava Ukraine [emoji1255]Bakhmut. Urusi wanakufa kama kuku wa Kisasa
View attachment 2631672