figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,724
- 55,906
- Thread starter
- #13,821
Inadaiwa Miundombinu yote ya kijeshi ya Mkoa wa Rostov ipo chini ya jeshi la Wagners
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na wanafika. Mrusi hana mbinu za kumuweza PMC WAGNERS. Na NATO walikuwa wanawamudu sababu ya Teknolojia. Ukriane kashashinda VitaThe musicians are heading yo moscow.
There will be a huge musical party in the Kremlin!.
Slava Ukraine [emoji1255]Angalia jinsi Jeshi la Wavamizi wa Urusi lilivyotekekezwa kwa mtutu wa Bunduki huko Frontline Jeshi la Ukriane liliingia kwenye handaki la Urusi, Wavamizi 10 wakapigwa za kichwa live hapo hapo
View attachment 2664818
Slava Ukraine [emoji1255]Angalia jinsi Jeshi la Wavamizi wa Urusi lilivyotekekezwa kwa mtutu wa Bunduki huko Frontline Jeshi la Ukriane liliingia kwenye handaki la Urusi, Wavamizi 10 wakapigwa za kichwa live hapo hapo
View attachment 2664818
Slava Ukraine [emoji1255]Frontline Mrusi akiwindwa kama swala
View attachment 2664820
Slava Ukraine [emoji1255]Gari la Wavamizi walilokuwa wakiringa nao Urusi, halikufika jioni [emoji1787][emoji1787]
View attachment 2664828
Slava Ukraine [emoji1255]Wameliwa vichwa muda si mrefu
View attachment 2664829
Slava Ukraine [emoji1255]Manesi na madaktari wa Ukriane walio Frontline wakitoa huduma usiku na mchana bila kukata tamaa lengo ni kuhakikisha Hakuna Mpambanaji wa Ukriane anayepoteza maisha. Nchi ya Amani Urusi kageuza uwanja wa Vita
View attachment 2664835
Slava Ukraine [emoji1255]Urusi wanakamatwa kama kuku wa kisasa
View attachment 2664836
Slava Ukraine [emoji1255]Sniper wa Ukraine akifanya yake
View attachment 2664841
Slava Ukraine [emoji1255]Siku mbaya kwa Mrusi
View attachment 2664848
Slava Ukraine [emoji1255]Urusi wanajuta kuvamia Ukraine
View attachment 2665954
Slava Ukraine [emoji1255]Moscow jana kulizuka taharuki ya kikosi Maalum kuvamia Moscow, ikabidi wakate internet na barabara zote zinazoingia mjini zikafungwa na Vifaru. Putin kaanza kutetemeka. Sasa atapigana vita ya Ukraine na Vita ya kubaki madarakani
View attachment 2667026
Slava Ukraine [emoji1255]PMC Wagners wamelalamikia Jeshi la Urusi kwa kushambulia kambi yao kwa missiles. Wanadai wamefanya makisudi. Na Wagners nao wamelipiza kisasi kwa kutungua Helkopta mbili za kivita za Urusi. Hii ni Kambi ya PMC Wagners iloshambuliwa na Urusi
View attachment 2667039
Slava Ukraine [emoji1255]Msururu wa Magari ya kijeshi ya Wagners yakiwa Mkoani Voronezh huko Urusi yakiwa yanaelekea uelekeo wa Moscow. Kuna tetesi eti Putin anataka kutangaza Operation nyingine ya Kuilinda Urusi. Sasa zimekuwa operation mbili. Ya kuvamia Ukriane na nyingine kujilinda[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
View attachment 2667055
Slava Ukraine [emoji1255]Wagners wakiwa wanaingia mjini Rostov huko Urusi. Hawa hawataki Serikali iliyopo madarakani Urusi. Hawa wataungana na The Freedom of Russia Legion. Kama ikiwa hivyo basi Urusi ajipange upya
View attachment 2667089