Hahahaa. HAWAMALIZI. Kabla ya wiki mbili itabidi wakatafute tena wengine wa mkopo 2000 nao wembe utakuwa ni ule-ule. Hapo ndo watajua kwamba Bakhmut ipo Ukraine na ni ardhi ya Ukraine na sio Urusi wala mali ya Urusi.Urusi wameleta Bakhmut wanajeshi wa akiba 2000. Je, Watamaliza wiki mbili?
Duh! Kwa kichapo cha kiwango hicho, kwa kweli ni halali tena ni muhimu sana waikimbie kambi haraka iwezekanavyo. Slava Ukraine.Bakhmut inarudi Mikononi mwa Ukriane wiki si nyingi. Hapa Warusi wameikimbia moja ya kambi yao huko Bakhmut. Wamepelekewa moto, baada ya kuona wanakufa kama sisimizi ikabidi watimue. Wameshikilia hii sehemu zaidi ya miezi miwili. Angalia Warusi walivyo kufa
View attachment 2682510
Zelensky ana uwezo mkubwa sana wa ushawishi cha hatari. Hakuna aliyetegema angefika hapa alipo leo angekuwa mwingine angekimbia nchi kipindi Wavamizi walipokaribia kuingia Kyiv.Makomandoo na Mashujaa wa Azovstal wa Battalion ya Azov waliojisalimisha huko Mariupol wameachuwa hukru. Viongozi wa Azov makubaliano ilikuwa wasikae nchini kwani wangeongeza nguvu.
Leo Wamerudi kutoka kizuizini na amepokelewa na rais Zelensky. Walioachiwa huru ni pamoja na
Denys Prokopenko, Svyatoslav Palamar, Serhiy Volynsky, Oleh Khomenko, Denys Shleha na wengine wengi
Karibu sana nyumbani
View attachment 2682553
Naam; Wabrazil waja kusaidia Frontline kumchuna ngozi beberu la Kirusi. 😀 😀Wabrazil waja kusaidia Frontline
View attachment 2687156
Hahahaa. Majamaa yamepoa kama uji wa uweleWarusi wanajuta. Walikija kibabe sana🤣🤣🤣
View attachment 2687158