Hahahaa. HAWAMALIZI. Kabla ya wiki mbili itabidi wakatafute tena wengine wa mkopo 2000 nao wembe utakuwa ni ule-ule. Hapo ndo watajua kwamba Bakhmut ipo Ukraine na ni ardhi ya Ukraine na sio Urusi wala mali ya Urusi.Urusi wameleta Bakhmut wanajeshi wa akiba 2000. Je, Watamaliza wiki mbili?