Special Thread: Video na picha kutoka Vikosi vya Jeshi la Ukraine walio Frontline dhidi ya Urusi

Special Thread: Video na picha kutoka Vikosi vya Jeshi la Ukraine walio Frontline dhidi ya Urusi

Hapa ni Mariupol, na hawa ni Marines

ndugu zao na Azov. Hahahaa
 
Hii ni ramani ya Kijeshi ya Leo. Bado kidogo Majeshi yafike Mariupol. Mzigo wa Ufaranza unabidi upelekwe donetsk tupate njia ya kuingia Mariupol. Odessa wamejitahidi aisee. Urusi wameshindwa kutoboa
1651773417754.png
 
Hii ni picha ya leo ya Azov mjini Mariupol. Bado wanapambana. Hawana ndege tu, ila Kuna mzigo ulifika Jumapili.. Wakiongezewa nguvu kidogo tu, wanatoboa. Siku ya 15 Urusi wanadai wamewazingira kwenye handaki. Handaki gani hilo. Hakuna Jeshi Lisilo na handaki. Urusi wanataka eti wasijifiche kwenye mahandaki. Si Wawafuate huko handakini kama wanaweza? Why wanatumia ndege kama kweli wamewazingira? Angalia Azov wanavyo pambana kufa kupona
 
URUSI: Jeshi la Ukombozi la Urusi, LEGION linaendelea kushambulia Kambi za jeshi la Urusi. Hapa ni Mkoani Krasnoyarsk Mashariki mwa Urusi. Hii ni hifadhi kubwa ya polyethylene
View attachment 2212976
Mkuu vipi hawa jamaa wa Legion kumbe wapo hadi ndani ya Urusi basi nilizani wapo tu Ukerein .Kama hadi wapo ndani Putin huu ndo mwisho wake.
 
T-72B variant cha Urusi
 
Kifaru aina ya T-72B Obr cha Urusi
 
Kifaru aina ya BMP-2 cha Urusi. Vifaru vyote hivi ni vimeangamizwa Mashariki mwa Ukraine ndipo Vita ilipo sasa.
 
Mbona tunaambiwa kwamba wanajeshi pekee waliobaki Mariupol ndio walioko hapo kiwandani na wamezingirwa wakiwa ndani? hawa wanaopambana wako sehemu gani?
Mkuu, Mariupol ni Mkoa. Waliozungukwa ni Azov wanaopambana kutokea Azovstal iron and steel. Wapo pia Marines brigade hapo hapo Mariupol. Sema hapo Azovstal iron and steel ndo kama Makao Makuu yao. Hata wao wanapambana. Unadhani tangu waseme wamezingirwa sasa inaenda siku ya 20. Walikuwa wanasema watawakamata ndani ya Siku tatu.

Changamoto wanaoipata Urusi ni kwamba hawawezi kwenda kwa Miguu wala Vifaru, Wanalipuliwa na kuteka. Azov wana mafunzo makali sana na Ule mji wameujenga kijeshi, kuna mahandaki ya chini kwa chini. Hivyo Urusi wanatumia ndege na Makombora ya Mbali kuuharibu Mji na waliomo ndani.
 
Hawa Warusi ni wehu, Wanatoa Mabango ya alama za barabarani yenye lugha ya Kiingereza na Kuweka yenye lugha ya Kirusi, Ili watu wa Magharibi wakiwa wanaingia Mjini Mariupol Wapotee. Wenzao wanatumia ramani za Google, mabango kitu gani?
1651823235005.png

1651823044383.png
 
Mkuu, Mariupol ni Mkoa. Waliozungukwa ni Azov wanaopambana kutokea Azovstal iron and steel. Wapo pia Marines brigade hapo hapo Mariupol. Sema hapo Azovstal iron and steel ndo kama Makao Makuu yao. Hata wao wanapambana. Unadhani tangu waseme wamezingirwa sasa inaenda siku ya 20. Walikuwa wanasema watawakamata ndani ya Siku tatu.

Changamoto wanaoipata Urusi ni kwamba hawawezi kwenda kwa Miguu wala Vifaru, Wanalipuliwa na kuteka. Azov wana mafunzo makali sana na Ule mji wameujenga kijeshi, kuna mahandaki ya chini kwa chini. Hivyo Urusi wanatumia ndege na Makombora ya Mbali kuuharibu Mji na waliomo ndani.
Asante Mkuu,hapa sasa nimeelewa kwa taarifa za media nikadhani wanajeshi pekee waliobaki ni hao tu wa kiwandani kumbe mapambano yanaendelea na wengine wapo nje
 
Back
Top Bottom