Special Thread: Video na picha kutoka Vikosi vya Jeshi la Ukraine walio Frontline dhidi ya Urusi

Special Thread: Video na picha kutoka Vikosi vya Jeshi la Ukraine walio Frontline dhidi ya Urusi

Izyum hapa. Vifaru vya Urusi vimeteketezwa
 
Izyum: Wanajeshi wa Urusi baada ya kuzidiwa, wamekimbia wakaacha kifaru na vitu walivtoiba madukani
 
Hapa ni Kherkyiv: Majeshi ya Urusi baada ya kuzidiwa, yameamua kurudi nyuma kujipanga upya
 
URUSI: Kuna moto mkubwa unawaka 120 km kutoka mpakani kwa Ukraine upande wa Sumy.
 
URUSI: Moshi na Milipuko inasikika Mkoani Belgorod.
20220507_072427.jpg
 
Mkoani Belgorod nchini Urusi kama inavyoonekana
 
Askari wa Ukraine walivyoteka Vifaru vya Urusi Mkoani Izyum
 
Hapa ni Kherkyiv: Majeshi ya Urusi baada ya kuzidiwa, yameamua kurudi nyuma kujipanga upya
View attachment 2214819
Duuuh inabid ukrain wasiruhusu tena warusi kurudi eneo wanaloondoka .....sipati picha eti adui anapita anavyotaka kwenye barabara za nchi yangu namuangalia tu anaingia na kutoka anavyotaka daaah yaa ata kama ni mawe napiga hilo gari
 
Angalia jeshi la pili la dunia la Urusi walivyokuja kuiba Ukraine. Wanaiba televisheni, mashine za kufulia, baiskeli, simu, laptops. Lakini kuna kitu hakipo sawa. Mwanajeshi kuiba
View attachment 2212921
Jeshi la Urusi huwa halithamini wanajeshi wao wakiwa vitani ni kawaida sana kutokuwapatia mahitaji muhimu kama vile vyakula, maji na dawa. Ikitokea wamezingirwa wanawaacha wajifie tu.

Hata kipindi cha WW2 walikuwa hivyo hivyo waliua wanajeshi wengi sana kwa uzembe wa kijinga. Walivyofika kwenye nchi ya Ujerumani waliiba hadi nguo, viatu na vyombo vya ndani.Mjerumani alikuwa hawezi kula vyakula vya Soviet Union, wao ndio walikuwa wanavitafuta kwa udi na uvumba.

Ninadhani hawana discipline au mafunzo yao yana walakini.Kwa ubakaji wako vizuri. Hata hapo Ukraine wameshapaka wanawake wengi tu.
 
wakuu, update yeyote mariupol!?.
Unataka Update?

Leo Azov wataongea na Wanahabari kutokea Mariupol. Wataongea kwa zoom. Hivyo Wasikilize wakupe Update. Link hii hapa


Kama Urusi wakizingua, muda unaweza badilika. Viongozi wote wa Azov Wataongea. Usalama ukiwa mdogo, itarushwa Video ya Maongezi. Ila kwa sasa uwezekano wa kuongea upo Mkubwa. Wanaongea katikati ya Uwanja wa Vita hivyo, muda ukisogezwa usiogope.
 
Kiongozi wa Marine Serhii Volyna. Amesema wamefanya wawezalo kuwaondoa raia Mariupol. Wamepunguziwa mzigo kwani walikuwa na kazi ya kujilinda na kuwalinda watu zaidi ya 300.
20220508_103019.jpg
 
Kifaru cha Urusi
 
Hawa ni Azov wakiwa mapumzigo kwenye handaki wakibadilishana mawazo.
 
Unataka Update?

Leo Azov wataongea na Wanahabari kutokea Mariupol. Wataongea kwa zoom. Hivyo Wasikilize wakupe Update. Link hii hapa


Kama Urusi wakizingua, muda unaweza badilika. Viongozi wote wa Azov Wataongea. Usalama ukiwa mdogo, itarushwa Video ya Maongezi. Ila kwa sasa uwezekano wa kuongea upo Mkubwa. Wanaongea katikati ya Uwanja wa Vita hivyo, muda ukisogezwa usiogope.
sawa mkuu nashukuru.
 
Duuh yaani hawa jamaa kama vile hawana vita mbele yao
Sema huyo bonge kafa jana. Ndo aliyewatoa raia kwenye handaki. Wakati anarudi Urusi wamapiga risasi yeye na wenzake. Wakafa wawili, 6 wakajeruhiwa. Ila wao ndo walikuwa wanawaongoza raia sababu raia hawajui njia za Azovstal. Baada ya kuhakikisha wamepanda basi, wakarudi kwenye mgodi wao. Wakati wanarudi wakaviziwa. Warusi wamekufa 5. Azov ni makomando, hawakuachi salama
 
Sema huyo bonge kafa jana. Ndo aliyewatoa raia kwenye handaki. Wakati anarudi Urusi wamapiga risasi yeye na wenzake. Wakafa wawili, 6 wakajeruhiwa. Ila wao ndo walikuwa wanawaongoza raia sababu raia hawajui njia za Azovstal. Baada ya kuhakikisha wamepanda basi, wakarudi kwenye mgodi wao. Wakati wanarudi wakaviziwa. Warusi wamekufa 5. Azov ni makomando, hawakuachi salama
Duuuh R.I.P vipi wakitolewa wanapelekwa upande upi wa warusi au ukraine
 
Back
Top Bottom