Special Thread: Video na picha kutoka Vikosi vya Jeshi la Ukraine walio Frontline dhidi ya Urusi

Special Thread: Video na picha kutoka Vikosi vya Jeshi la Ukraine walio Frontline dhidi ya Urusi

20220407_014529.jpg
 
Huyu figganigga atajipigia sana mademu wa kibongo maana anavyoripoti utadhani yupo kwenye epicenter ya vita kumbe anatafsiri toka kwenye blogs za pro NATO.
 
Vifaru Viwili vya Urusi aina ya T-72B vikiwa vimeharibiwa na Ukraine
 
Kifaru cha Urusi aina ya 9A39M1(-2) TEL for the 9K37M1 series Buk SAM system
20220407_015317.jpg
 
Kifaru cha Ukraine aina ya BREM-1 ARV ikinasua kifaru cha Urusi aina ya T-72B kilichikuwa kimekwamakika telekezwa
 
Askari wa Urusi akiwa mbel ya Kifaru xha Urusi aina ya MT-LB chenya ZU-23-2 23mm autocannon. Hiki kimeharibiwa na Ukraine
20220407_233706.jpg
 
Askari wa Urusi alikuwa anaishambulia drone ya Ukraine, risasi zilipo muishia ikabidi akimbilie kwa wenzake. Drone ikawa ianmfuata kwa juu. Wote wamelipuliwa
 
Msafara wa Urusi ulivyo haribiwa kwenye highway ya Magaribi mwa Mji wa Kyiv
 
Na hii pia ni highway hiyo hiyo hapo juu
 
Mkoani Kherson: Vifaru vya Urusi vikitetezwa. Wanakimbia ovyo ovyo hawajui wakimbilie wapi
 
Stugna-P anti-tank guided missile ilivyoangamiza gari lililo beba silaha la Urusi
 
Kifaru cha Urusi aina ya #Ukraine: A 152mm Msta-S SPG kikiwa Mikononi mwa Ukraine. Kaskazini Mashariki mwa Ukraine
 
Kifaru cha Urusi aina ya T-72B kilitelekezwa Mkoani Chernihiv. Hakijashambuliwa. Inaonekana walipata ajali wakati wanakimbizwa warudi kwao. Hii Vita Ukraine itashinda
 
Back
Top Bottom