Special Thread: Video na picha kutoka Vikosi vya Jeshi la Ukraine walio Frontline dhidi ya Urusi

Special Thread: Video na picha kutoka Vikosi vya Jeshi la Ukraine walio Frontline dhidi ya Urusi

Root Zimepanda bei, sijui sababu ya hii Vita. Sasa moja yauzwa US$40,000.
300px-Pansarvärnsrobot_57_aka_MTB_LAW.jpg
 
Hawatafikisha mwezi wanaachia Kherson

Sent using Jamii Forums mobile app
Mji niupendao Odessa,Warusi wameshindwa kupenya😂😂 Walijaribu kutumia Meli wapi,wakatua na Miamvuli lakini wapi. Odessa walijiandaa na vita mapema. Ndo mji watu wachache wamekimbia. Walipewa Silaha kila mtu ana yake. Wanawasubiri Warusi. Kherson inakombelewa Siku mbili hizi. Ukraine Jumanne iliongeza Wanajeshi na Vifaa hapo Kherson
 
Mji niupendao Odessa,Warusi wameshindwa kupenya[emoji23][emoji23] Walijaribu kutumia Meli wapi,wakatua na Miamvuli lakini wapi. Odessa walijiandaa na vita mapema. Ndo mji watu wachache wamekimbia. Walipewa Silaha kila mtu ana yake. Wanawasubiri Warusi. Kherson inakombelewa Siku mbili hizi. Ukraine Jumanne iliongeza Wanajeshi na Vifaa hapo Kherson
Urusi ataondolewa kwa aibu sana, Luhansk na Donesk lazima zirudi kwa nguvu...
Vita ikiisha Ukraine itajiimarisha sana kivita kuliko wakati wowote ule.

Majirani wote wa Urusi watajiimarisha sana kivita na wengi watakuwa NATO au EU

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kherson ileeee... Ila kuiteka imekua mbinde. Itakombolewa tu. Inabidi ukanyage kifaru kilipokanyaga ili usilipuliwe na mabomu ya kutegwa Ardhini🤣🤣
 
Mungu akipenda, hadi jumapili tutakuwa tumeirudisha Kherson. Ila nahofia watu watakufa sana kuliko Bucha. Wanaomba Silaha, na hawaogopi majeshi ya Urusi
 
Hii vita nilidhani ingemchukua Russia siku chache tu awe ameiweka Ukraine mikononi mwake lakini shughuli anayokutana nayo si mchezo. Hii vita imeonesha udhaifu mkubwa sana kwa jeshi la Russia, magari na vifaru vyao kwa mfano vibovu sana pia wanajeshi wengi wa Russia afya mbovu sana. Putin ana mawazo ya ki Soviet era sana alidhani Ukraine ni Syria .
 
R.I.P , kwa hiyo picha ndio hatutapata tena au?🙄
Picha zipo. Kuna waandishi zaidi ya 300. Hapa naweka picha moja kati ya 10. Picha zipo nyingi. Sasa macho tuelekeze kwa Waandishi walio Kherson Odessa Luhansk na Donesk

Tatizo Urusi wameikamia sana Izyum. Siku ukisikia Ukraine tumeichukua Izyum jua Urusi ndo bye bye. Urusi wameweka vifaa vingi Izyum, si ndege wala Kifaru kinakatiza. Tunataka tuwazunguke.. Tiwaache wakae hapo halafu sisi tupambane wilaya Jirani warusi tuwaweke mtu kati. Raia watakufa sana, ila hakuna jinsi.
 
Hii vita nilidhani ingemchukua Russia siku chache tu awe ameiweka Ukraine mikononi mwake lakini shughuli anayokutana nayo si mchezo. Hii vita imeonesha udhaifu mkubwa sana kwa jeshi la Russia, magari na vifaru vyao kwa mfano vibovu sana pia wanajeshi wengi wa Russia afya mbovu sana. Putin ana mawazo ya ki Soviet era sana alidhani Ukraine ni Syria .
Walijua wanapambana na Ukraine kama Ukraine, hawakujua Ukraine ana marafiki
 
Asante sana Slovakia kwa msaada wako kwa Ukraine wa S-300PMU SAM battery, 8x Transport trucks/trailers, kwaajili ya 5V55R missiles, 2x 5T58-2 missile transporters, 5P85DU TEL, 2x 40V6M mobile mast kwa ajiku ya 76N6 Low Altitude Acquisition Radar. Hapa chini nitaweka ufafanuzi wa kila zana za kivita walizotoa.

20220408_160512.jpg
20220408_160509.png
 
Ukisikia magari aina ya 8x Transport trucks na Matela yake ambayo Slovakia wametoa, ni haya.
images(3).jpg
images(2).jpg
images(1).jpg
images.jpg
 
Tupashe habari pia kuhusu kituo cha train kilicholipuliwa leo huko Ukraine.
 
Hizi ndo 5P85DU TEL ambazo Slovakia katoa msaada
image03.jpg
image06.jpg
image04.jpg
image01.jpg
 
Back
Top Bottom