Special Thread: Video na picha kutoka Vikosi vya Jeshi la Ukraine walio Frontline dhidi ya Urusi

Special Thread: Video na picha kutoka Vikosi vya Jeshi la Ukraine walio Frontline dhidi ya Urusi

Huyu Komandoo wa Katikati anaitwa Andriy Biletsky, ndo Mwanzilishi na kiongozi wa Azov Regiment
https___d1e00ek4ebabms.cloudfront.net_production_c93b0b66-1370-462a-a9e2-0c18d565b47d.jpg
 
Zaidi ya siku 82 wameulinda mji wa Mariupol. Ilikuwa wakifikia malengo wanacheza muziki
 
Azov walijui kuichimba Mariupol. Hapa wakiwa wameunganisha Starlink kwenye handaki lao
 
Picha ulizoweka hazionekani. Pia ni vizuri uandike kwa kirefu ueleweke. Man-portable air-defense systems (MANPADS) ni silaha iliyotumika na hii Helkopta iloangushwa ni ya Urusi aina ya Mi-28N attack helicopter yenye Mkia namba RF-13628. Kikosi cha National Guard kikitumia MANPADS Wilayani Elitne, Mkoani Kharkiv ndo waliidungua. Ni tukio la Wiki iloisha. Sababu picha hazijakaa vizuri, naziweka tena
20220517_092958.png
20220517_092956.png
20220517_092953.png
20220517_092950.png
 
Eye from the SKY, Picha ya Russian KA-52 inayodaiwa kupigwa na droni ya UkraineView attachment 2227706

Sent from my TECNO P704a using JamiiForums mobile app
Hii sikujua kama iliangushwa. Iliangushwa lini? Ninachojua Drone ya Ukraine iliifuatilia tu haijailipua sababu kulikuwepo Wanajeshi wa Ukraine kwa chini. Hivyo ingeanguka ingesabisha majeruhi na vifo kwa Ukraine. Naomba ufuatilie Vizuri au unipe chanzo niangalie. Hii ndege juzi kulipuliwa sikuipata. Ndege tuliyolipua ni hii
20220517_093050.jpg

Hii silaha jamaa aliyoishika ndo MANPADS
 
Acha kuwapanga watu humu...hao azov wako wanatibiwa na Russia..na hakina zoez lolote la kubadilisha wafungwa Kati ya hao azov na Russia...Leta ushahidi...na mamabs yanatowatoa yooote Yana nembo ya Z..no mabasi ya ukrane hayo?!...mbona wamesarenda..sicwalikuwa wamegoma ..woote wamedhoof bin Hali.... nguchiro tu hao..
 
URUSI Kuna moto katika Mtambo huko mkoa wa Novosibirsk Nchini Urusi.
 
Acha kuwapanga watu humu...hao azov wako wanatibiwa na Russia..na hakina zoez lolote la kubadilisha wafungwa Kati ya hao azov na Russia...Leta ushahidi...na mamabs yanatowatoa yooote Yana nembo ya Z..no mabasi ya ukrane hayo?!...mbona wamesarenda..sicwalikuwa wamegoma ..woote wamedhoof bin Hali.... nguchiro tu hao..
Mkuu kinachokuangaisha apa ni nini wewe nenda kwenye uzi wenu huu wa Uķrain tuachie sie acha mambo za kitoto mzee unakuwa kama mjinga bhana
 
Picha ulizoweka hazionekani. Pia ni vizuri uandike kwa kirefu ueleweke. Man-portable air-defense systems (MANPADS) ni silaha iliyotumika na hii Helkopta iloangushwa ni ya Urusi aina ya Mi-28N attack helicopter yenye Mkia namba RF-13628. Kikosi cha National Guard kikitumia MANPADS Wilayani Elitne, Mkoani Kharkiv ndo waliidungua. Ni tukio la Wiki iloisha. Sababu picha hazijakaa vizuri, naziweka tena
View attachment 2227719View attachment 2227720View attachment 2227721View attachment 2227722
[emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]shukrani kiongozi

Sent from my TECNO P704a using JamiiForums mobile app
 
kinachonisikitisha, ni watu au wamagaribi kuwaaminisha ukrain kuwa wanaipita na kuipa tabu russia, wakati miji kadhaa ya ukraine imekuwa magofu na russia maisha yanaendelea. westerners huwa wanachukua watu ubongo halafu wanabaki makopo, kwa zana ndogo tu, media.
 
Back
Top Bottom