Special Thread: Video na picha kutoka Vikosi vya Jeshi la Ukraine walio Frontline dhidi ya Urusi

Special Thread: Video na picha kutoka Vikosi vya Jeshi la Ukraine walio Frontline dhidi ya Urusi

Kuna taarifa kwamba maafisa wa Urusi zaidi ya 14 akiwemo jeneral mmoja na colonel wamekufa Leo mkoani Kherison baada ya shambulio la wanajeshi wa Ukureine kwa kutumia HIMARS .Airfield ya Urusi imehalibiwa yote,kumbe mfumo wa Urus S400 ni Ziro tu .Naweka picha muda sio mrefu.
Bro Mi nilishtuka kwamba ile mifumo ana itoa Kama simu za Tecno haipiti miaka 10 asha toa mara S400 saiv anatest S500 muda wa reaserch wanapata wap?wamarekan wa patriotic tangau miaka 80s wanafanyia tu upgrade huo mfumo.
 
Bro Mi nilishtuka kwamba ile mifumo ana itoa Kama simu za Tecno haipiti miaka 10 asha toa mara S400 saiv anatest S500 muda wa reaserch wanapata wap?wamarekan wa patriotic tangau miaka 80s wanafanyia tu upgrade huo mfumo.
[emoji16][emoji16][emoji16]mifumo kama tecno.

Wana ka uchwao utasikia tsar bomb mana sijui adui zetu wajipange. Urusi bhana.

Pale maandishi matatu wametulia na minuteman 3 kimyaaa wanawachora tu
 
Mavyuma kibao na makubwa kumbe bure tu mkuu.
Kumbuka meli yao ya moskova ilipigwa na vi drone vya uturuki pamoja na kuwa ilifungwa hayo machuma sijui S300.
Samahani Mkuu, naomba niweke kumbukumbu sawa. Hii meli ilizamishwa na Makombora mawili ya Neptune cruise missiles. Neptune cruise missiles zinatengenezwa Ukraine na Luch Design Bureau.
 
Alikuwa anafurahia kubomoa nyumba za Waukraine. Karudi Urusi kwenye rumbesa
IMG_20220713_223204_820.jpg
 
Tukiendelea hivi kwa mwezi mmoja tu, Urusi anakimbia. Ukraine umefanya mashambulizi ya nguvu Maeneo ya Mykolayiv, Kherson, Crimea, Zaporizhzhya na Donetsk. Urusi siku ya pili hawajasonga mbele. Na mbwembwe zimeisha. Sasa nimeelewa mbinu ya Yule Komando wa Ukriane alosema, Tulipue maghala yao ya Silaha, Frontline yao ikose nguvu. Ndo kimetokea. Urusi ikisikia Ukraine wanakuja... Wanatoka mbio
 
Warusi walificha Silaha zao hapa Sokol Viwandani. Zimekwenda na maji. HIMARS zinanusa maghala yalipo hadi Urusi wameogopa kusonga mbele. Badala ya kushambulia, nao wameanza kujilinda🤣🤣
 
Back
Top Bottom