Special Thread: Video na picha kutoka Vikosi vya Jeshi la Ukraine walio Frontline dhidi ya Urusi

Special Thread: Video na picha kutoka Vikosi vya Jeshi la Ukraine walio Frontline dhidi ya Urusi

Duh! Jamani, mbona Mrusi ananyanyasika mno na hizi drone?😂😂
Sasa mfukoni anapapasa kasahau nini? smartphone au kisu na uma.
😂😂😂😂 alikuwa anataka kutoa pesa zake na simu ili wasizichuke wanaume wa kazi. Sasa sijui kazikosa 🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️
 
Hebu nitoe tongotongo mkuu.

1. Hivi ni vifaa vilivyoharibiwa na askari waliouwawa au

2. ni vifaa walivyo navyo eneo la vita na askari au

3. Ndo current military capacity ya mrusi aliyonayo mpaka sasa
Mkuu; nilivyoelewa mm Hizo ni Takwimu za vifaa vya Urusi vilivyoharibiwa na askari wa Urusi waliouawa tangu vita ianze hadi kufikia tar.08/08/2022.
 
😂😂😂😂 alikuwa anataka kutoa pesa zake na simu ili wasizichuke wanaume wa kazi. Sasa sijui kazikosa 🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️
😀😀 hilo ni wenge la drone. Shikamoo Drone.
 
Hapa Urusi wakiwa wanawachinja Wanajeshi wa Ukraine kama Mbuzi. Halafu azov wakipasua watu Vichwa eti wanawalaumu. Tusilaumiane. Hii video sitaweka, naweka picha.. Hata wahusika tushawajua.. Kazi yao kuchinja kwa kisu binadamu wenzao. Azov hawawezi kubali, bora waitwe Magaidi tu
View attachment 2317912View attachment 2317913View attachment 2317914View attachment 2317915
Katika picha ya Tatu kutoka juu au last but one mbona suruale(Combat) ya anayechinjwa imechanika au waliichana hapo na sehemu ya mwili inaonekana??
Ni aibu na ni Laana kubwa kwa hao wachinjaji. Malipo ni hapahapa duniani. Ww subiri tu.
Kama dhana yangu ni sahihi, HAKIKA hawatauona mwisho wa vita hii i.e. Hawatoboi kamwe.
 
Hebu nitoe tongotongo mkuu.

1. Hivi ni vifaa vilivyoharibiwa na askari waliouwawa au

2. ni vifaa walivyo navyo eneo la vita na askari au

3. Ndo current military capacity ya mrusi aliyonayo mpaka sasa
Mbona nimeweka caption. Ndivyo vifaa, Wanajeshi na mifumo ambayo Urusi wamepoteza
 
Katika picha ya Tatu kutoka juu au last but one mbona suruale(Combat) ya anayechinjwa imechanika au waliichana hapo na sehemu ya mwili inaonekana??
Ni aibu na ni Laana kubwa kwa hao wachinjaji. Malipo ni hapahapa duniani. Ww subiri tu.
Kama dhana yangu ni sahihi, HAKIKA hawatauona mwisho wa vita hii i.e. Hawatoboi kamwe.
Mbona Picha nimepost hapo juu. Kabla ya kumchinja walimakata sehemu za siri
 
HIMARS ingekuwa inaruhusiwa kuwa nayo mtu binafsi ningeenda kukopa benki nikainunue aise niende nayo Ikungulyabashashi. 😂😂😂 iwe ukumbusho. Na kila siku ningekuwa naifuta vumbi. Maana inanipa raha sana nikiona inatema vitu.
🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️
 
Wameonywa, wasiposikia shauri yao
Screenshot_20220808-200104.png
 
Azov wakiwa kazini
 
Back
Top Bottom