Special Thread: Video na picha kutoka Vikosi vya Jeshi la Ukraine walio Frontline dhidi ya Urusi

Special Thread: Video na picha kutoka Vikosi vya Jeshi la Ukraine walio Frontline dhidi ya Urusi

Mkuu kulingana na tathmini ya idara ya kijasusi ya Ukraine wanasema mwezi huu tusitarajie mambo makubwa, mwezi october ndio dunia itashangazwa na ukraine na anasema kufikia mwezi december kutakuwa na mapigani kidogo sana wakati anatarajia ifikapo 2023 urusi atakuwa kasharudi nyumbani kwa aibu mkuu.
Hata kama wataenda na kasi hii bado mimi naona mpaka mwisho wa September huenda Donetsk, Kherson zitakuwa mkononi mwa Ukraine.

Fashist ameweka nguvu kubwa mkoa wa Luhansk na Kharkiv. By December wanaume watasherehekea Christimas kwenye viti virefu.

Labda kama una maana kwamba 2023 watakuwa wameshaikomboa Crimea.
 
Urusi Walipanga kuleta Wanajeshi laki mbili Ukraine. 90% Wamekwenda na maji. Yaan wanajeshi zaidi ya 170000 kati ya laki 2 walioletwa Ukraine February, hawapo tena kwenye mfumo baada ya baadhi kufa wengine kuwa Walemavu na wengine kufungwa. Kama vita itaendelea hivi, itachukua miezi mingapi kuwamaliza askari wote wa Urusi kama wao wapo 900000?
IMG_20220810_014210_810.jpg
 
Urusi Walipanga kuleta Wanajeshi laki mbili Ukraine. 90% Wamekwenda na maji. Yaan wanajeshi zaidi ya 170000 kati ya laki 2 walioletwa Ukraine February, hawapo tena kwenye mfumo baada ya baadhi kufa wengine kuwa Walemavu na wengine kufungwa. Kama vita itaendelea hivi, itachukua miezi mingapi kuwamaliza askari wote wa Urusi kama wao wapo 900000?
View attachment 2319616
Safi sana. Bora vita iendelee hata kwa miezi 6 mingine ijayo ili kumpunguza nguvu za kijeshi.

Pentagon, NATO na washirika wake waliona mbali sana. Walikuwa wanajua namna ya kushughulika na Fashisti na walifanya assessment ya kutosha kabla hawajakaa kwenye drawing table.

Sasa ndo tunaona matunda yake na tutaendelea kuona. Maana mgonjwa anaongezewa dozi taratibu. Dozi ya HIMARS na zile Drone inayotumika kumtibu mgonjwa ikipungua nguvu, dozi inayokuja itammaliza kabisa nguvu fashisti. Let us wait and see.

Pro Russia siku hizi hata ka takwimu ka kuokoteza hawana kabisa. Hata ka picha hakuna kabisa. Wamepigwa ganzi na figganigga.
 
Back
Top Bottom