Special Thread: Video na picha kutoka Vikosi vya Jeshi la Ukraine walio Frontline dhidi ya Urusi

Special Thread: Video na picha kutoka Vikosi vya Jeshi la Ukraine walio Frontline dhidi ya Urusi

Wanajeshi wa Ukraine wa Frontline, hapa walikuwa wanasumbuliwa na quadcopter ya Urusi. Hajafa mtu
 
Base kubwa ya Urusi iliyopo Valuyek Mkoani Belgorod Nchini Urusi imegundulika. Ipo kwenye longitude na latitudes 50.251980, 37.716356. Naona wameanza kuogopa kuingiza mzigo Ukraine. Ukraine wangekuwa hawajakatazwa kutumia HIMARS kushambulia nje ya Mipaka ya Nchi, hii Base ingeenda na maji. Hivi Vifaru vya Kirusi vinavyoonekana ni aina ya T-90M
IMG_20220906_031347_435.jpg

 
Warusi walipelekewa moto, hapa anawaambia wenzage kwamba hakuna mtu bali Mikono na Miguu ndo imesalia. Wakamwambia njoo tukimbie, tukishambuliwa tena tunakufa. Hiyo inayoonekana kuwaka hapo ni BUK ya Urusi. BUK missile system ni medium-range surface-to-air missile systems
 
Base kubwa ya Urusi iliyopo Valuyek Mkoani Belgorod Nchini Urusi imegundulika. Ipo kwenye longitude na latitudes 50.251980, 37.716356. Naona wameanza kuogopa kuingiza mzigo Ukraine. Ukraine wangekuwa hawajakatazwa kutumia HIMARS kushambulia nje ya Mipaka ya Nchi, hii Base ingeenda na maji. Hivi Vifaru vya Kirusi vinavyoonekana ni aina ya T-90M
View attachment 2347064
View attachment 2347065
Dahh! Wazee wa HIMARS wanaimezeaje mate hiyo base kubwa walioigundua iliyoko Valuyek.?? Yaani mpaka grid reference wanazo. Basi tu wamepigwa "ban" kutoka nje ya mipaka ya Ukraine imekuwa tena sio rizki kwao.
 
Warusi walipelekewa moto, hapa anawaambia wenzage kwamba hakuna mtu bali Mikono na Miguu ndo imesalia. Wakamwambia njoo tukimbie, tukishambuliwa tena tunakufa. Hiyo inayoonekana kuwaka hapo ni BUK ya Urusi. BUK missile system ni medium-range surface-to-air missile systems
View attachment 2347389
Mhh! Warusi wanalambishwa Shubiri-mwitu (bitter alovera) taratibu ili akili iwakae vizuri.
 
Huyu Azov yupo Frontline. Walipaanza kumshambulia, akatumia muda huo kula lunch yake, badaye akajibu shambulizi.
 
Urusi wanadai ni jeshi kubwa la pili Duniani, lakini wanatumia Makombora ya mwaka 1964🤣🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom