figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,724
- 55,906
- Thread starter
- #6,461
Pamoja na Urusi kuendelea kuigiza mambo ya referendums, Majeshi ya Ukriane yameendelea kuwapelekea moto warusi huko Kherson.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo padre/mchungaji anamtumikia nani hasa. Kama siyo anamtumikia shetani tusemaje. Watu wanaenda kuvamia taifa lingine huru na kuua watu wake bila hatia maana yake anawaombea wakaue wa-ukraine.Mobilized wakiwa Sevastopol huko Crimea.
Tunawafuatilia kwa karibu🤣🤣🤣
View attachment 2370572View attachment 2370573View attachment 2370574
Naona Drones wanaziogopa sana sasa hivi. Wanaficha vifaru chini ya mti 😂😂😂 hatari sana.Pamoja na Urusi kuendelea kuigiza mambo ya referendums, Majeshi ya Ukriane yameendelea kuwapelekea moto warusi huko Kherson.
View attachment 2370869View attachment 2370870View attachment 2370871View attachment 2370872View attachment 2370873
Hana hamu. Wamempa hako ka juice anajilamba kweli 😂😂😂Hawa jamaa walipelekewa moto hadi wakamtelekeza mwenzao🤣🤣
View attachment 2370960
😂😂😂 Paka kapata panya mkubwa acha afaidi bwana.Huyu Paka wa Ukraine ana balaa, anamtafuna Mrusi kama mua🤣🤣
View attachment 2370961
Safi sana. Msg wameipata.Wananchi wa Georgia waaandamana mpakani mwa Georgia na Russia wakiwananga Warusi wanaokimbia kupelekewa Ukraine. Wanawaambia Vita ilipoanza mlikuwa mkishangilia na kuingua Mkono Nchi yenu, leo mnaenda wapi?
Huyo Mjojia alojifunika Bendera ya Ukraine ameandika kwenye bango lake ‘In surveys, most of you support the war. So why now are you leaving?’
View attachment 2370967
Duh!Chap unaonesha hizo dalili na kuingia jela kwa hiyo miaka 10 ambayo kwa uhakika watawala nunda walioko kwa sasa baada ya kitambo kidogo hawatakuwepo tena na sheria hiyo itakosa nguvu itakuwa haina meno. Itatupiliwa mbali na waathirika na sheria hiyo watakuwa huru labda baada ya mwaka mmoja tu.Sheria imepitishwa Urusi, ukionesha dalili za kujisalimisha unafungwa jela miaka 10. Hata ukionesha huna nia ya kushambulia adui
Paka naye anamwadabisha Mrussi - Ulikuja kufanya nini huku Ukraine?😂😂😂 Paka kapata panya mkubwa acha afaidi bwana.
Daadek! Sasa ndo mziki utanoga. Mrussi aliambiwa na mapema kabisa kwamba katika hii vita ya kishenzi aliyoianzisha, hakuna rangi ataacha kuona.
Na hivi mchina kamruka. Mchina hataki jihusisha na hii VitaDaadek! Sasa ndo mziki utanoga. Mrussi aliambiwa na mapema kabisa kwamba katika hii vita ya kishenzi aliyoianzisha, hakuna rangi ataacha kuona.
Ila hii Silaha ni moto
Nadhani zitachukua muda kufika, maana ndo zinatengenezwa kiwandani.
Duh! hawa wote ni mbolea inayotembea.Mobilized🤣🤣
View attachment 2371047
Naipenda sana hii kitu. Huwa inanipa raha sana. Bila hii kitu Chmonya wangetutesa sana. Asante sana U.SIla hii Silaha ni moto
View attachment 2371054