Alikuwa na cheo gani mpaka maiti yake iwe na thamani ya kubadirisha kwa askari 32.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alikuwa na cheo gani mpaka maiti yake iwe na thamani ya kubadirisha kwa askari 32.
Mbona serikali haiku paralysed wakati walipoivamia Ukraine ikiwa bado haijajipanga kwa mashambulizi na wakaanza kupiga hovyo hovyo infrastructure na kuua raia. Leo hii ndo kweli waweze ku paralysed serikali. Naona akili zao zimechanganyikiwa hawajielewi.Wakati huo Kremlin inawaza kupiga infrastructures za kiraia zaidi. Inataka waparalyse ufanyaji kazi wa serikali ya Kiev katika kudeliver huduma muhimu kwa wananchi na jeshi ili kulifanya Jeshi la Ukraine likose cordination frontline. Anayeongea ni ofisa wa Kremlin meenye dhamana ya mambo ya mahusiano ya kiethnic huko Russia.
View attachment 2384565
Huyu alikuwa kocha wa mpira kutoka Israel. Alikuwa anafundisha Ukraine. Alikuwa Mwanajeshi wa kujitolea wa Ukriane. Hawa 32, na mwili wake umebadilishwa na Wafungwa. Hao wengine wapo haiAlikuwa na cheo gani mpaka maiti yake iwe na thamani ya kubadirisha kwa askari 32.
Nimekusoma vizuri. ThanksHuyu alikuwa kocha wa mpira kutoka Israel. Alikuwa anafundisha Ukraine. Alikuwa Mwanajeshi wa kujitolea wa Ukriane. Hawa 32, na mwili wake umebadilishwa na Wafungwa. Hao wengine wapo hai
Na ni missile yenye uaminifu na utii mkubwa na inayozingatia maagizo 😀 😀 kama atakavyoagiza boss.Kila Jiji limewakilishwa na Missile 1
Aisee! Mm nikadhani ni mashine ya kupuliza Salfa kwenye mikorosho kwa jinsi inavyotimua vumbi.Hadi raha. Kitu kinatema chafya. Hakuna nyani anayekatiza kwenye anga lake. Ngoja tusubiri, yajayo yanafurahisha.
Ukraine wako vizuri mno. Ni wakakamavu katika kila nyanja.Baada ya kukombolewa kwa mji wa Novooleksandrivka, Mkoani Kherson. Wananchi wamefurahia kumuona Askari wa Frontline kwa mara ya kwanza tangu Februari. Alitinga na bodaboda🤣🤣
View attachment 2384609
Aisee! Hilo dude lina sura inayoashiria kupeleka ubaya ubayani.Hii ni MAMBA ARTHUR ya Uingereza ikiwa na radar yake. Frontline
View attachment 2384522View attachment 2384523
View attachment 2384524
Yani safi mno. Hongereni sana wapiganaji wa Ukraine. Shikamoo Frontline ya Ukraine. Tunawaombea kwa Mungu awajalie wepesi msonge mbele kumfyagilia mbali huyo joka kutoka kwenye ardhi ya Ukraine.Ukraine imefanikiwa kukomboa Novohryhorivka, Nova Kamianka, Tryfonivka na Chervone Wilayani Beryslav Mkoani Kherson
View attachment 2384883
View attachment 2384887
Frontline wakiwa Chervone leo
Russia lazma ateme bungo... Ukraine washapagawa.Wanajeshi 10,000 wa Ukraine waliokuwa Mafunzoni Uingereza, leo wamehitimu na Wanarudi kuilinda Nchi yao. Moja kwa moja Frontline
View attachment 2384908
Mkuu; kuna kitu fulani amazing naskia kimetua Poland kwa mara ya kwanza katika historia ya dunia. Hicho kitu ni kizito, ni cha hewani nasikia hata rada iweje haikioni. Ni cha USA. Kama una details hebu tumegee.Wanajeshi 10,000 wa Ukraine waliokuwa Mafunzoni Uingereza, leo wamehitimu na Wanarudi kuilinda Nchi yao. Moja kwa moja Frontline
View attachment 2384908
Hii ndo raha ya kuwa na marafiki wanaokupenda na kukutetea. Anga la Ukraine likilindwa dhidi ya makombora ya russia, kwenye ground battle walishatepeta, russia wataswagwa tu kama mbuzi.NATO wamesema, sasa wanaanza kupeleka air defense systems Ukraine. Vikosi vya ardhini vinafanya vizuri sana.
View attachment 2384899