OSEFUKANY
JF-Expert Member
- Jan 16, 2011
- 2,437
- 3,896
Ni kama Mrussi kwa timbwili hili amejifunua. Wameshamwona kumbe hana boxer.Hii mbungi bado mbichii sana. Watu washapagawa , wacha West waendelee kuleta madude.
Huwezi kuvamia nchi huru kisa tu ujinga ujinga , alafu utoke salama
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa atajua alikuwa hajui.