figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,724
- 55,906
- Thread starter
- #7,361
Hali itatengamaa. Ni swala la muda tu. Hakuna kitu kilichosumbua kama ndege za Urusi. Sasa hivi zipo wapi? Hata hivyo Drone zinadakwa sana tu.Mbona ndege zipo angani zinaziwinda.
Tatizo zinatumwa nyingi kwa wakati 1, uwezekano wa ndege zetu kutunguliwa na defence zetu ni mkubwa