OSEFUKANY
JF-Expert Member
- Jan 16, 2011
- 2,437
- 3,896
Siku NASAMS zote zikitua Ukraine, Makombora yake hayatamsaidia tena. German nao wakituongezea IRIS-T waliyoahidi Anga litakuwa salama zaidi.Pamoja na kupiga makombora zaidi ya 85, lakini mengi yamedakwa. Yaliyo penetrate ni wachache sana.
Siku NASAMS zote zikitua Ukraine, Makombora yake hayatamsaidia tena. German nao wakituongezea IRIS-T waliyoahidi Anga litakuwa salama zaidi.
Kweli cku hatua hiyo (status) ikifikiwa, Mrussi lazima avae pampasi. Ujeuri wake utamwisha.