Special Thread: Video na picha kutoka Vikosi vya Jeshi la Ukraine walio Frontline dhidi ya Urusi

Special Thread: Video na picha kutoka Vikosi vya Jeshi la Ukraine walio Frontline dhidi ya Urusi

Hivi nikweli kuna ukomo wa vita maana naona kama kuna watu wana maslahi yao ambayo hayakubaliki.
 
Bakhmut Urusi wamechakazwa leo
20221119_175907.jpg
 
Hivi nikweli kuna ukomo wa vita maana naona kama kuna watu wana maslahi yao ambayo hayakubaliki.
Ni kina nani hao mkuu wanaofurahia na kuneemeka kwa vifo vya binadamu wenzao, uharibifu wa mali/miundombinu na kutoweka kwa amani? Mungu anawaona.
 
Huyu Mwanajeshi wa Urusi, alipoona Drone juu yake, ikabidi aweke mikono juu kujisalimisha. Ikamuongoza hadi Wanajeshi wa Ukraine walipo
View attachment 2421207
Hahahaaa. Bila shaka alianza kwa kusema "Shikamoo drone" na papo hapo akawa mtiifu hadi alipowafikia Majeshi ya Ukraine cjui Km. ngapi vinginevyo angebutuliwa. 😆 😆 😆
 
Plan iliyopo ni kwamba hadi mwezi wa 12, Ukraine iweze kuingiza Majeshi Crimea
View attachment 2421226
Kuingiza majeshi Crimea kabla ya kuikomboa Kherson yote na Zaporizhzhia ni hatari kwa Ukraine.

Crimea inatakiwa uchukuliwe kwa jasho dogo. Russia anatakiwa aiteme Crimea kama alivyofanya Kherson. Wakiweka pressure kubwa Kherson na Zaporizhzhia ataitema Crimea kama nyani kutema bungo.
 
Mwanafunzi wa Zambia - ambaye alikuwa akitumikia kifungo nchini Urusi - aliuawa kwenye mstari wa mbele nchini Ukraine katika mazingira yasiyoeleweka, waziri wa mambo ya nje wa Zambia ameambia kikao cha wanahabari katika mji mkuu Lusaka.

Lemekhani Nyirenda, 23, alikuwa akisomea uhandisi wa nyuklia katika Taasisi ya Fizikia ya Uhandisi ya Moscow, lakini mnamo 2020 alihukumiwa kifungo cha miaka tisa jela kwa kosa ambalo halikutajwa. Atakuwa alikutanana Azov
View attachment 2416885
View attachment 2416886
Ama kweli songea ya wasouth afrika nashangaa kuona nyirenda Zambia ,alipandisha bendera ya Uhuru ndo jinalake hilo
 
Back
Top Bottom