Safi sana 👍👍Donetsk Urusi wamechakazwa. Magari ya ugavi ya Urusi
View attachment 2421218
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Safi sana 👍👍Donetsk Urusi wamechakazwa. Magari ya ugavi ya Urusi
View attachment 2421218
Kwa kweli Huyo mpishi wa Putin amestahili kabisa tena imekasoro hajaongezewa kipondo. Utapendaje fedha kwa kuwauwa watu ambao hata huna ugomvi nao? Nimefurahi sana leo. Hongera mno kwa 10th mountain assault brigade. Kazi iendelee.💪Hawa ni Wagner, Wanajeshi wa waliokodiwa na Urusi. Na hapa ni Soledar huko bakhmut. Kazi nzuri ya 10th mountain assault brigade.
View attachment 2421274
Dah! Aisee! Hadi raha jinsi walivyojificha. Hii mbinu ni kali yataka akili ya ziada huko uwanja wa medani.
Tunawaombea ili Mungu mweza wa yote awafanyie wepesi kufanikisha azma yenu hiyo kwa mafanikio makubwa. Amina.Plan iliyopo ni kwamba hadi mwezi wa 12, Ukraine iweze kuingiza Majeshi Crimea
View attachment 2421226
Kikosi cha Drones huwa wananipa raha sana kwa kazi yao nzuri. Vita vya porini wanaiweza sana. Hata ungechimba handaki na kuishi kama nungunungu wataķuona tu. 😂😂😂Hawa ni Wagner, Wanajeshi wa waliokodiwa na Urusi. Na hapa ni Soledar huko bakhmut. Kazi nzuri ya 10th mountain assault brigade.
View attachment 2421274
Mimi naamini wanajua walifanyalo na wanayo mahesabu yanayowaongoza. Ushauri wako ni mzuri sana ili kupunguza hasara -lakini hebu tuwaachie nafasi yao ya kitaalam-vita.Kuingiza majeshi Crimea kabla ya kuikomboa Kherson yote na Zaporizhzhia ni hatari kwa Ukraine.
Crimea inatakiwa uchukuliwe kwa jasho dogo. Russia anatakiwa aiteme Crimea kama alivyofanya Kherson. Wakiweka pressure kubwa Kherson na Zaporizhzhia ataitema Crimea kama nyani kutema bungo.
Mbinu za kijeshi zinazotumiwà na Ukraine ni za kutumia akili
Dah! Nimekubali bro. Ukraine are very smart.Mbinu za kijeshi zinazotumiwà na Ukraine ni za kutumia akili
Siyo ile ya kutengeneza pyramid block anatumia Russia 😂😂😂.
Mbinu hii hata kama ni Drone haiwaoni kabisa.
Frontline Mkuu. Wana mbinu sana... Kuna kile kikosi chenye Spika, Mkiingia 18 zao spika inaongea kwa nguvu mikono juu mkikataa mnakula shabaDah! Aisee! Hadi raha jinsi walivyojificha. Hii mbinu ni kali yataka akili ya ziada huko uwanja wa medani.
Neno la siku 🤝🤝Plan iliyopo ni kwamba hadi mwezi wa 12, Ukraine iweze kuingiza Majeshi Crimea
View attachment 2421226