Special Thread: Video na picha kutoka Vikosi vya Jeshi la Ukraine walio Frontline dhidi ya Urusi

Special Thread: Video na picha kutoka Vikosi vya Jeshi la Ukraine walio Frontline dhidi ya Urusi

Urusi wamezoea kuharibu miundombinu ya Ukraine. Kumbuka tangu Vita ianze, Ukraine imekuwa haishambulii Urusi, ilikuwa ikijilinda na Kirudisha ardhi inayokaliwa kimabavu.
Sasa tumetest drone yetu ya long range ikatua Urusi na kuharibu kambi ya Jeshi, Naona Urusi wanalialia.

Na bado. Walikuwa wanafurahia kuharibu miundombinu ya Ukraine, nao wameota joto la jiwe[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
View attachment 2438817
Slava Ukraine [emoji1255]
 
Good morning
20221208_085350.jpg
20221208_085316.jpg
20221208_085310.jpg
20221208_085258.jpg
20221208_085054.jpg
20221208_085024.jpg
 
Message delivered. A good indicator for Russia to understand that Ukraine can hit Moscow, it is a matter of time.

Siku wakiswagwa kwenye territories za Ukraine, huenda tukaja kushuhudia mengi yaliyokuwa yanasemwa haiwezekani kwa Russia yakawezekana mbele ya Ukraine.

Li nchi kubwa kama Russia lenye 17,098,242 SQR KM (mara 28 zaidi ya eneo la Ukraine yenye 603,550 SQR KM) nani alitegemea kuwa anaweza akapigwa na nchi ndogo kama Ukraine. Muda utaongea tu, labda USA, NATO na EU waache kumpa Ukraine msaada wa vifaa vya kijeshi
Wahenga walishagasema "Ukubwa wa pua sio uwingi wa kamasi" ni kweli Urussi ni linchi likubwa kwa eneo lakini sio likubwa kwa akili, mipango na busara. Lipolipo tu kama broiler chicks. Wale wamasai walisema "Think before you leap" Sasa huyo juha(Putin) akapuuzia hilo na kukurupukia vita bila kujipanga.
Hao USA, NATO na EU hawataacha kumpa Ukraine msaada kwani vita hii ina maslahi makubwa kwao ki-Usalama na ki-Uchumi.
Mrussi angelikuwa ni mtu mtulivu na mpenda amani, labda ingekuwa hivo. Lakini maadam Mrussi ni jeuri, mbabe na mpenda vita hao westerners lazima watamng'ang'ania kooni hadi mwisho.
 
Urusi wamezoea kuharibu miundombinu ya Ukraine. Kumbuka tangu Vita ianze, Ukraine imekuwa haishambulii Urusi, ilikuwa ikijilinda na Kirudisha ardhi inayokaliwa kimabavu.
Sasa tumetest drone yetu ya long range ikatua Urusi na kuharibu kambi ya Jeshi, Naona Urusi wanalialia.

Na bado. Walikuwa wanafurahia kuharibu miundombinu ya Ukraine, nao wameota joto la jiwe🤣🤣🤣
View attachment 2438817
Kama kweli hilo limewezekana,Yan Ukraine ametengeneza na kutest drone yake mwenyewe na ikafanikisha target; basi Mrussi atalizwa mno-mno. Mrussi ni hata (cjui nimwiteje)ni juha lililobobea. Upo msemo wa wabongo usemao "Nguo ya kuazima haisitiri matako" Mrussi Drones alizokuwa anatamba nazo sio za kwake ni nguo ya kuazima Iran. Sasa Ukraine drones anazotumia ni za kujitengenezea mwenyewe sio za kuazima au za kununua nje. (The Project is sustainable 100%)
Mrussi atachoka kweli-kweli. Sasa ni "zamu ya Ukraine kumtesa Mrussi" W'allah Ukraine kwa machungu aliyonayo kwa Mrussia, atampiga Mrussi kama ngoma hadi hapo Putin atakapoomba suluhu na pengine hata asikubaliwe.
 
Wahenga walishagasema "Ukubwa wa pua sio uwingi wa kamasi" ni kweli Urussi ni linchi likubwa kwa eneo lakini sio likubwa kwa akili, mipango na busara. Lipolipo tu kama broiler chicks. Wale wamasai walisema "Think before you leap" Sasa huyo juha(Putin) akapuuzia hilo na kukurupukia vita bila kujipanga.
Hao USA, NATO na EU hawataacha kumpa Ukraine msaada kwani vita hii ina maslahi makubwa kwao ki-Usalama na ki-Uchumi.
Mrussi angelikuwa ni mtu mtulivu na mpenda amani, labda ingekuwa hivo. Lakini maadam Mrussi ni jeuri, mbabe na mpenda vita hao westerners lazima watamng'ang'ania kooni hadi mwisho.
Juzi Putin aliwaambia wajumbe wa security council kuwa vita itachukua muda mrefu (long period) kuisha lakini wataendelea kupigana kulinda interest za Russia. Maana yake sasa kashaelewa kuwa siyo yale masaa 72 aliyosema bali hata yeye hajui vita itaisha lini.
 
Juzi Putin aliwaambia wajumbe wa security council kuwa vita itachukua muda mrefu (long period) kuisha lakini wataendelea kupigana kulinda interest za Russia. Maana yake sasa kashaelewa kuwa siyo yale masaa 72 aliyosema bali hata yeye hajui vita itaisha lini.
Ndo zake hizo.Wenzake wanayo mahesabu ya vita itaisha lini na kwa namna gani. Yeye kalagabaho.
 
Back
Top Bottom