Special Thread: Video na picha kutoka Vikosi vya Jeshi la Ukraine walio Frontline dhidi ya Urusi

Special Thread: Video na picha kutoka Vikosi vya Jeshi la Ukraine walio Frontline dhidi ya Urusi

Haipiti siku urusi inawaka Moto. Naona vijana wapo kazini.

Na huu ni ushahidi tosha kwamba siku wakiamua kuondoka na andunje hawashindwi.
 
Bado ana muda, masaa 72 bado hayajaisha. 😂😂😂
Vita imemchanganya hadi amesahau hata kile alichosema.Siku hizi naona amebadili mwendo na amejivika lugha ya upole kama wanavyokuwa askari wake wanapotekwa huwa wapole na wadogo kama piriton.
 
figganigga

Naomba umeseme neno hapa
Kunae taarifa kuwa HIMARS imepita na barracks za Wagner na kula vichwa zaidi ya 300 huko Melitopol

Hii taarifa ni kweli?

Himars targeted and hit a Wagner' PMC barrack's hotel complex in #Melitopol only 3 badly wounded and rest 300+ eliminated instantly[emoji88][emoji879]





Screenshot_20221211-113250.jpg


---
Melitopol
Crimea
Kote kimewaka
CNN: Ukraine launches missile attack on Russian-occupied Melitopol, explosions reported in Donetsk and Crimea | CNN
 
Hii taarifa hata mimi nimeiona tusubiri muda utatoa picha kamili kama ni kweli.
figganigga

Naomba umeseme neno hapa
Kunae taarifa kuwa HIMARS imepita na barracks za Wagner na kula vichwa zaidi ya 300 huko Melitopol

Hii taarifa ni kweli?

Himars targeted and hit a Wagner' PMC barrack's hotel complex in #Melitopol only 3 badly wounded and rest 300+ eliminated instantly[emoji88][emoji879]





View attachment 2442746

---
Melitopol
Crimea
Kote kimewaka
CNN: Ukraine launches missile attack on Russian-occupied Melitopol, explosions reported in Donetsk and Crimea | CNN
 
6missile --2intercepted 4 zimehit target

Air Defense za Urusi ni Mafi. Ni kuwa tu hazijapelekewa moto wa kutoshaView attachment 2443038
HIMARS, hii kitu ikikohoa ujue imefanya yake. Imemfanya mrusi awe anaficha silaha kwa mafungu mafungu kama nyanya. Siku ikipata long range missile, atatoa meli zake za kivita Black sea na sea of Azov. Military Base zake za Kursk, Rostov, Krasnodar na Belgorod lazima asihamishe. Hizi ndo base kubwa zinazotumika ku supply silaha uwanja wa vita.
 
figganigga

Naomba umeseme neno hapa
Kunae taarifa kuwa HIMARS imepita na barracks za Wagner na kula vichwa zaidi ya 300 huko Melitopol

Hii taarifa ni kweli?

Himars targeted and hit a Wagner' PMC barrack's hotel complex in #Melitopol only 3 badly wounded and rest 300+ eliminated instantly[emoji88][emoji879]





View attachment 2442746

---
Melitopol
Crimea
Kote kimewaka
CNN: Ukraine launches missile attack on Russian-occupied Melitopol, explosions reported in Donetsk and Crimea | CNN
MoD ya Ukraine imesema inakadiria Wanajeshi 100
 
Duh! Mrussi na Mamluki wake (Wagner)wamepewa darasa la Utambulisho(Introductory course) wasubirie yajayo yanafurahisha zaidi.
Wagner wanaing'ang'ania Bakhmut utadhani kuna kitu walisahau. Wako tayari kufia Bakhmut. Kuna maeneo wameyachukua tena kama Ozarianivka, Zelenopillya, Kurdyumvika, na Ivahrad.
 
Back
Top Bottom