Kwa hiyo Brigade zote zimeenda BakhmutUkraine wameweka sana nguvu kuzuia huu mji usianguke, Sasa watakuwa na manpower ya kutosha kufanya counter offensive maeneo mengine ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa hiyo Brigade zote zimeenda BakhmutUkraine wameweka sana nguvu kuzuia huu mji usianguke, Sasa watakuwa na manpower ya kutosha kufanya counter offensive maeneo mengine ?
We jamaaaa unajua propaganda kweliHizi ni Takwimu za kiongozi Wa Urusi alolamatwa huko Vuhledar.
Kwamba March 1, 2023 Walituma wanajeshi 100 Frontline kupambana na Ukriane huko Vuhledar, lakini walirudi 16 tu, na tarehe 5, March walienda 100 wakarudi 3. Hizi takwimu zimetolewa kwenye notebook yake
View attachment 2549947
MaigizoWagners kadakwa akitoroka na gongo. Ni raia wa Brazil.. Anaomba msamaha asiuawe
View attachment 2549886
Nguvu kubwa mno pamoja na vifaa imewekwa huko kwenye hicho kimji.Kwa hiyo Brigade zote zimeenda Bakhmut
Nadhani unaongea kwa kuhisi una ushahidi wowote. Urusi hawaamini yaani, walijuia itakuwa rahisi.Nguvu kubwa mno pamoja na vifaa imewekwa huko kwenye hicho kimji.
Wao pia wameweka nguvu hapo BakhmutNadhani unaongea kwa kuhisi una ushahidi wowote. Urusi hawaamini yaani, walijuia itakuwa rahisi.
Swali langu kwako ni;
1. Ukraine ana brigades nyingi kuliko Urusi hadi Urusi ishindwe kutoboa na kuanza kulialia?
2. Kama Brigades zote zimeenda Bakhmut, huko kwingine kwanini Urusi hawasongi mbele?
kwahiyo Ukriane wawaachie Urusi hii Bakhmut ili nguvu waelekeze kwingine sio?Wao pia wameweka nguvu hapo Bakhmut
Yapo maeneo mengi yaliyokwisha chukuliwa hiyo Bakhmut haitokua ya kwanza.kwahiyo Ukriane wawaachie Urusi hii Bakhmut ili nguvu waelekeze kwingine sio?
Wanasubiria wenzao watoke training na Abrams, Leopalds etcUkraine wameweka sana nguvu kuzuia huu mji usianguke, Sasa watakuwa na manpower ya kutosha kufanya counter offensive maeneo mengine ?
Hao hata wakifa wote boss haoni hasara yoyoteHizi ni Takwimu za kiongozi Wa Urusi alolamatwa huko Vuhledar.
Kwamba March 1, 2023 Walituma wanajeshi 100 Frontline kupambana na Ukriane huko Vuhledar, lakini walirudi 16 tu, na tarehe 5, March walienda 100 wakarudi 3. Hizi takwimu zimetolewa kwenye notebook yake
View attachment 2549947
Ina maana ni kama 'resistance symbol' tu ?...Wanasubiria wenzao watoke training na Abrams, Leopalds etc
Huo mji ungeanguka ingekuwa demoralization kwa Ukraine
Russia anaumizwa na ataumizwa na raia wa Ukraine aliowalazimisha kukimbilia RussiaWarusi wanaulizwa air defense za nini Moscow? Wanaogopa nini? Washaanza kutia adabu kumbe[emoji1787][emoji1787]. Mara ya Kwanza walidai Ukraine haina silaha ya kufika Moscow
View attachment 2549977View attachment 2549978
Ujue Zelensky anajua nini anafanya, si kila kitu wanaweka publicIna maana ni kama 'resistance symbol' tu ?...