figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,724
- 55,906
- Thread starter
- #12,041
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
1. Usilolijua ni kama usiku wa giza.Ukweli upi huo ?
Dah! Hadi ametia huruma - hakuweza kujitoa hapo aliponaswa hadi kafia hapo.
CNBC NEWS1. Usilolijua ni kama usiku wa giza.
2. waachie wenye military skills na jaribu kujifunza kupitia watu wenye uzoefu na wana skills za military.
3. Usiokoteze propaganda za watu ambao hawajui hata uwanja wa vita ukoje.
Yaepuke hayo mambo matatu 👆 👆 tutakuwa sawa.
Hivi Supply line ya warusi huko Bakhmut ikoje?Watu wanachukulia poa kikosi cha mortars. Lakini hii Bohari ya Silaha na risasi za Urusi huko Bakhmut, imesambaratishwa na mortars
View attachment 2551376
Baada ya Bohari ya silaha za Urusi kulipuliwa, wameishiwa Risasi na Silaha ndo maana hawasongi mbele. Ila wapo imara.Hivi Supply line ya warusi huko Bakhmut ikoje?
Ukraine haijafanikiwa kuilocate na kuidhibiti?
Ni kweli Russia siyo wa kuwa Ignore. Wanaitaka Bakhmut kwa udi na uvumba. Haijalishi watakufa wangapi. Sijui wanavutishwa bangi
Maoni yangu:Ni kweli Russia siyo wa kuwa Ignore. Wanaitaka Bakhmut kwa udi na uvumba. Haijalishi watakufa wangapi. Sijui wanavutishwa bangi
1. Je, Unakiamini kwa kiasi gani hicho chombo cha habari? (huwa hawafanyi editing? Wao wanazipata habari kutoka kwa nani?) e.g. umesema "Ukrainian military analyst Oleh Zhdanov said Ukraine was suffering losses among reserves it intended to use in planned counteroffensives against Russian forces, expected in late spring". Je, Huyo military analyst ndio msemaji wa vikosi/jeshi la Ukraine au ni mchambuzi aliyetoa maoni yake tu?CNBC NEWS
Ukraine's President Volodymyr Zelenskyy insisted his forces must win the battle for Bakhmut in Donetsk, eastern Ukraine, as doubts continue over whether Ukraine should spend more manpower and resources on defending the besieged city in Donetsk.
"As always, today I was in touch with our commanders, with intelligence [officers]. It is very hard in the east — very painful," Zelenskyy said in his nightly address.
"We must destroy the enemy's military power - and we will destroy it," he said, adding that the defense of settlements big and small, such as Bilohorivka and Avdiivka or Bakhmut and Vuhledar, could determine what Ukraine's future looks like.
![]()
Ukrainian soldiers return from Bakhmut in two BTR-80 vehicles in Chasiv Yar, Donetsk Oblast, Ukraine, on March 7, 2023.
Andre Luis Alves | Anadolu Agency | Getty Images
There are doubts over the merits of defending Bakhmut, a city said to be almost completely surrounded by Russian forces and mercenary units.
Ukrainian military analyst Oleh Zhdanov said Ukraine was suffering losses among reserves it intended to use in planned counteroffensives against Russian forces, expected in late spring.
==========================
Habari za kuaminika kutoka vyanzo huru kama hapo juu huwezi kuziita propaganda labda uwe umeamua kuwa mshabiki wa upande mmoja.
Kama kawaida, Wazee wa HIMARS wakikutembelea ukae ukijua kabisa kwamba ni jadi yao kukuachia Kifusi, Scrapers na Mizoga au Mishikaki watakapoondoka.Himars imetembelea Luhansk. Hadi leo Urusi wanaziwinda🤣🤣🤣
View attachment 2552779
Ndo maana mimi sijifanyi mchambuzi. Jeshini hawatoi habari zote.1. Je, Unakiamini kwa kiasi gani hicho chombo cha habari? (huwa hawafanyi editing? Wao wanazipata habari kutoka kwa nani?) e.g. umesema "Ukrainian military analyst Oleh Zhdanov said Ukraine was suffering losses among reserves it intended to use in planned counteroffensives against Russian forces, expected in late spring". Je, Huyo military analyst ndio msemaji wa vikosi/jeshi la Ukraine au ni mchambuzi aliyetoa maoni yake tu?
2. Mkuu; Siku zote kumbuka na uzingatie Habari za vita ni SIRI kubwa haziwezi kutolewa hadharani kiholela na kwa wasiohusika- hata baadhi ya askari hawazijui. Kwa mantiki hiyo hata habari za kutoka hicho chanzo unachodai ni huru, Bado sio 100% kweli. Yani labda nikwambie tu kwamba hata zile habari anazotoa Zele au Putin sio zote ni za Ukweli na Uhakika. Kama unataka Habari za kweli, subiri vita iishe.
Hoja juu ya maoni;Maoni yangu:
1.Ukraine wakomae nao hadi kieleweke ni kwa nini Russia wang'ang'anie huo mji ilhali wameshauharibu beyond repair?
2. Ukraine wajiongeze - isijekuwa Warusi wanawa "keep busy" na mapigano huko Bakhmut lakini lengo lao likiwa ni ili wanajeshi wa Warusi walio makambini wajizatiti au wapate nafasi na muda wa kufanya maandalizi au mafunzo ya kutumia silaha mpya au mbinu mpya n.k. Kwa kweli haiingii akilini kirahisi kwamba Mrusi anadiriki kupoteza vifaru 130 kwa siku na wanajeshi wengi halafu lakini bado amekomalia kuongeza vifaru na wapiganaji wengine eneo(Mji) huo huo ............Inashangaza.
Labda proUrusi wanadhani kwamba proUkraine hatujui na hatuamini au hatukubali kwamba wapiganaji wa Ukraine nao wanauawa katika mapambano yanayoendelea. ProUrusi hawajakubali kwamba SIO INTEREST ya uzi huu kuweka picha au video clips za pale Ukraine anapokuwa amepoteza au amefeli. jJambo hili liliwekwa bayana tangu mwanzo kwamba zinawekwa picha au vid clips za mafanikio ya Ukraine dhidi ya Urusi.Ndo maana mimi sijifanyi mchambuzi. Jeshini hawatoi habari zote.
Ndo maana napost picha na Video za Frontline tu tena Ukriane ambao nawaunga mkono. Mambo ya logistics tunawaachia wahusika.
Natamani kuona Warusi wakianziaha thread ya kuonesha jinsi wanawaking'uta Ukraine kuliko kuja kwenye hii thread kujifanya wamajua. Wanahisi tunashindana.
Sisi tunapost picha za vikosi vyetu vya Ukriane pale penye mafanikio tu. Urusi nao wanataka tuwasaidie kupost mafanikio yao. Hiyo kazi siwezi, waweke thread wenyewe na waiupdate ili wajue utamu wa Frontline 🤣
Inafika wakati unayemtegemea kwa confirmation anakufa na picha ya hizo Sehemu kama ni Odessa hupati tena unasubiri kuokoteza mitandaoni
Asante mkuu. Maelezo yanajitosheleza sawia.Hoja juu ya maoni;
1. Ukraine haipambanii majengo au magorofa. Ukraine inapambania haki, utu, heshima na ardhi yao. Majengo yanaweza kujengwa baadae mazuri tu ila Ardhi, Haki, Utu na heshima ya wa Ukraine vikiporwa itagharimu vizazi na vizazi.
2. Kwenye medali za kivita Ukraine imeionyesha dunia kuwa iko imara, ni wajuzi wa vita kuliko hata Super power, na wanazijua mbimu za kivita. Ukraine ndo inam keep busy Russia huku wakijiandaa vyema kwa Offensive ya nguvu. Ukraine haijataka ku retreat Bakhmut kwa sababu hiyo. Miezi 3 ijayo uwanja wa mapambano utabadirika sana. Ukraine, US, NATO na EU wanacheza draft itakayomshangaza Putin.
3. Putin kwa kujua kuwa vita hii aliingia cha kike, ndiyo màana amelazimisha kwa nguvu kuifanya Ukraine ikubali negotiations. Mfano kuangamiza miundo mbinu ya ukraine kwa makombora mazito ya masafa ili kumwogopesha Ukraine ukubali yaishe imefeli. Kwa magumu waliyopitia wa-Ukraine hakuna kitakachowafanya waogope tena. Kama ni Hypersonic missile US na NATO wana silaha nzito kuliko Russia, akiendelea Ukraine itapewa Missiles na air defense za kuyazuia hayo makombora mazito
4. Kama Ukraine wameweza ku withstand kipindi kigumu cha baridi kali, sasa hivi huwatishi. Hataka kama wataiachia Bakhmut.