Special Thread: Video na picha kutoka Vikosi vya Jeshi la Ukraine walio Frontline dhidi ya Urusi

Special Thread: Video na picha kutoka Vikosi vya Jeshi la Ukraine walio Frontline dhidi ya Urusi

Haya magari ya America yanaitwa MRAP Oshkosh M-ATV. Uzuri wake ni hayapati madhara makubwa hata yakikanyaga bimu la kutega ardhini. Hivyo huwa wanayatanguliza mbele kulinda vifaru visilipuliwe.

Nasikia Marekani wanataka yawe mbadala wa M1114 HMMWVs sababu yanafanya kazi vizuri Frontline. Haya Magari yaliletwa Ukraine kimya kimya. Kabla ya hapa yalikuwa yakikipiga huko Afghanistan
 
Haya Makombora ndo yanaitwa JDAM-ER ya Marekani. Hapa yapo Ukraine
IMG_20230506_075859_499.jpg
IMG_20230506_075859_495.jpg
 
Hawa Warusi walijifanya wamekufa, kumbe drone inawaangalia. Ikibadi vijana wa Mortarmen kutoka kikosi cha 501st cha marine battalion wafanye kazi yao. Hakuna Mrusi alipona
 
Back
Top Bottom