figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,724
- 55,906
- Thread starter
- #13,301
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aaaa wapii. Prigozhin naye anajitafakari kivyake. Prigo ni mjanja anasubiri wapukutishwe hadi wabaki anaomudu kuwakimbiza kwenda kusikojulikana.Wagners wanakufa ovyo ovyo. Walijua watafika 10 May ili Prigozhin awaokoe na kichapo
View attachment 2611654
Hahahaa. Kuna mmoja ni kama anamwelekeza(Amri) mwenzake aliyejirani naye "We fala sogea mbele hv halafu tulia usijitingishe-tingishe !!!" Lakini mwisho wote wameenda na maji.Hawa Warusi walijifanya wamekufa, kumbe drone inawaangalia. Ikibadi vijana wa Mortarmen kutoka kikosi cha 501st cha marine battalion wafanye kazi yao. Hakuna Mrusi alipona
View attachment 2611688
mbona hii drone ni advanced kiasi hiki linaitwaje hiyo
Msemaji wa jeshi ndo aliyesema kuhusu taarifa hii. Ni kazi ya Patriot air defense systemHii habari sio ya uhakika. Fuatilia tena kwenye vyanzo sahihi hasa Jeshi la anga la Ukraine au Msemaji wa Jeshi la Ukraine. Usiiamini hii
Mrusi sekunde 2 tu kashafyatua lundo la mzigo 😂😂😂. Sijui kakaa na mavi yake siku tatu bila kutoka kwenye handaki 😂😂😂😂
Washa thibitisha mkuuHii habari sio ya uhakika. Fuatilia tena kwenye vyanzo sahihi hasa Jeshi la anga la Ukraine au Msemaji wa Jeshi la Ukraine. Usiiamini hii
1. Prigozhin kaamua wanajeshi wa wagner ambao wako frontline zingine waende Bakhmut kwa lengo la kuichukua Bakhmut yote kabla ya 09/05.Wagners wanakufa ovyo ovyo. Walijua watafika 10 May ili Prigozhin awaokoe na kichapo
View attachment 2611654
Walichokifuata Ukraine ndo hicho wesha kipata na kwa hiyo sasa wamepumzika hawana shida tena.ViongoI wa Battalion ya Urusi wamekwenda na Maji. Najiuliza, Ukraine walifuata nini?
1 - Major Andrey Lukyanov;
View attachment 2612479
2 - Captain Yaroslav Kiskorov;
View attachment 2612480
3 - Captain Andrey Kirilin;
View attachment 2612481
4 - Captain Yuri Arkhipov;
View attachment 2612482
Hawa jamaa kuikamata Bakhmut watafanikiwa. Swali ni watadumu yako wiki ngapi?1. Prigozhin kaamua wanajeshi wa wagner ambao wako frontline zingine waende Bakhmut kwa lengo la kuichukua Bakhmut yote kabla ya 09/05.
2. Ngoja tuone, Meat Grinder inawasubiri Bakhmut. Hata kama watachukua Bakhmut yote lakini nao watakuwa wamebaki wachache.
3. Kumbe zile propaganda zake eti wanajeshi wa chechen ndo wanaenda kuchukua position ya Wagner Bakhmut ni danganya toto. Ni wanajeshi wa wagner ndo wanaongezwa Bakhmut.
Waende waendao lakini wakae wakijua kiwembe ni kilekile. 💪 💪 🔨 🔨1. Prigozhin kaamua wanajeshi wa wagner ambao wako frontline zingine waende Bakhmut kwa lengo la kuichukua Bakhmut yote kabla ya 09/05.
2. Ngoja tuone, Meat Grinder inawasubiri Bakhmut. Hata kama watachukua Bakhmut yote lakini nao watakuwa wamebaki wachache.
3. Kumbe zile propaganda zake eti wanajeshi wa chechen ndo wanaenda kuchukua position ya Wagner Bakhmut ni danganya toto. Ni wanajeshi wa wagner ndo wanaongezwa Bakhmut.
Mrusi sekunde 2 tu kashafyatua lundo la mzigo [emoji23][emoji23][emoji23]. Sijui kakaa na mavi yake siku tatu bila kutoka kwenye handaki [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]