Special Thread: Video na picha kutoka Vikosi vya Jeshi la Ukraine walio Frontline dhidi ya Urusi

Special Thread: Video na picha kutoka Vikosi vya Jeshi la Ukraine walio Frontline dhidi ya Urusi

Salaam Wakuu,

Hii ni Special thread ya Video na Picha kutoka Uwanja wa Mapambano Ukraine kwa Wanajeshi Waliopo Msitari wa Mbele. Hii thread inawahusu timu Ukraine. Picha zinahusu mafanikio ya Ukraine.

View attachment 2158105
View attachment 2157979
Mwanajeshi wa Ukriane akiwa na PG-7VM rockets
View attachment 2157991
View attachment 2158012


Hiki ni kipigo cha kwanza walichokipata Urusi. Misafara wa Urusi Ulikuwa unaelekea Ukraine. Magari yenye Maandishi ya Z ndo ya Urusi. Na Wanajeshi wenye alama ya njano kwenye bega ndo wa Ukraine
View attachment 2158022

NB: Video kama haija vizuri kwenye screen yako, ijaze kwa kuizoom.

ANGALIZO: Baadhi ya picha zinatisha.
View attachment 2284112
View attachment 2284113View attachment 2284114
View attachment 2518400View attachment 2518401View attachment 2518402View attachment 2518403View attachment 2518404View attachment 2518405View attachment 2518406View attachment 2518407


Ingetakiwa supporter wote wa Ukraine mkamatwe mnyonge !! Russia is a friend to Africa and west are our big enemies
 
Ingetakiwa supporter wote wa Ukraine mkamatwe mnyonge !! Russia is a friend to Africa and west are our big enemies
Hii ni Ukriane sio Afrika. Mtu yoyote anaye teka nchi na kuikalia kimabavu ni Mkoloni. Siungi mkono Mkoloni yoyote hata kama ni ndugu yangu. Warusi wanalima, wanachimba madini, wanachukua chuma kutoka Ukraine na kupeleka Urusi. Yote wanafanya kwa mabavu kwa mtuti wa Bunduki. Siwezi kuwaunga Mkono. Wakimalizana na Ukriane watahamia Afrika. Nani wa kumfunga paka kengere?

Lazima tupige kelele ili ajue anachofanya ni Ukoloni. Siungi Mkono Ukoloni
 
patrol ships za Urusi zimekwenda na maji
20230915_064120.jpg
 
Back
Top Bottom