Special Thread: Video na picha kutoka Vikosi vya Jeshi la Ukraine walio Frontline dhidi ya Urusi

Special Thread: Video na picha kutoka Vikosi vya Jeshi la Ukraine walio Frontline dhidi ya Urusi

Screenshot_20240708-010800_RT News.jpg
Yaani Urusi wakidakwa wanakuwa Wapole na wadogo kama piriton. Hutaamini kama ni wale wanaojitapa
View attachment 2885202
Mbona watu wanarudisha mpira kwa kipa
 
Ule unga unga mweupe wanazo mwagiwa wanajeshi waliokufa hua ni nini
 
Figganiga anataka Ukraine iishinde urusi 😎😎😎 kitu ambacho ni hakiwezekani......urusi ni dude kubwa mnoooo lenye uwezo mkubwa ingekuwa li urusi ni la kipole pole wangeshalivamia Kama akina Iraq na Libya..
wamekutana na chuma ....,🤣🤣😃😃 Shiiit
 
1723617705537.png

Safu ya lori za jeshi la Urusi zilizoharibiwa mashambumbulizi ya wanajeshi wa Ukraine katika jimbo la Kursk, Agosti 9, 2024.
 
Figganiga anataka Ukraine iishinde urusi 😎😎😎 kitu ambacho ni hakiwezekani......urusi ni dude kubwa mnoooo lenye uwezo mkubwa ingekuwa li urusi ni la kipole pole wangeshalivamia Kama akina Iraq na Libya..
wamekutana na chuma ....,🤣🤣😃😃 Shiiit
Sisi hatushidani na Urusi bali tunalinda ardhi yetu. Hata wewe huwezi kubali mtu aingia kwenye malalio yako kwa nguvu. Utafanya kila uwezalo. Urusi Ilisema saa 72 itakuwa imeiteka Kyiv kwa sababu urusi ina nguvu. Kiko wapi?
 
Warusi wazidi kujiunga na majeshi ya Ukraine yaliongia ndani kabisa nwa Urusi na kuteka eneno linalolingana na Songea. Hawamtaki Putin
 
Mpaka leo mmeshindwa kuleta ushahid wa hayo maneno kama alitamka kweli acha kujifariji
Kama hujui kama Urusi ilisema hujui mambo ya kitaifa. Umepost kimehemko na siwezi kukujibu. Huna ujualo

 
Supapawa kashindwa kuilinda Kursk, huyu angeiweza 'NATO' kweli?
 
Wanajeshi wa Urusi 490 wameuawa huko Mkoani Kursk ndani ya urusi
1723618592719.png
 
Kama hujui kama Urusi ilisema hujui mambo ya kitaifa. Umepost kimehemko na siwezi kukujibu. Huna ujualo

Ona ulivyo hujielewi hivi huyo mark milley ndio kawa raisi wa urusi tayari narudia tena acha kujifariji bado hakuna uthibitisho mnaropoka hovyo mark ni general mstaafu na ni wa kimarekani sasa tuambie wapi urusi ilisema
 
Angalia Warusi walivyo teketea huko Urusi walipojaribu kuja kuikomboa kursk
 
Wakimbizi wa Kirusi walioukimbia Mkoa wa Kursk
 
Back
Top Bottom