SALUM S HEMED
JF-Expert Member
- Mar 4, 2016
- 1,437
- 1,861
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu lg led mpya ngapi? Na smart yake ngapi? Inch 32Brand new Nobel led TV inch 29
330,000/ fixed
Free delivery kwa dar
0713662655 call/WhatsApp
View attachment 664124 View attachment 664125 View attachment 664121
Mkuu LG Mpya LED unapata kwa 549,999 hii ni inch 32"Mkuu lg led mpya ngapi? Na smart yake ngapi? Inch 32
Mkuu mi nahitaji New LED smart tv with:-Mkuu LG Mpya LED unapata kwa 549,999 hii ni inch 32"
halafu SMART LG TV unapata kwa 750,000/-
karibu sana mkuu. pia tuna aina zingine kama TCL, BOSS, STAR X , SAMSUNG NA SONY. Karibu sana kwa maswali
Ni brand gani ya TV?, Na ni model gani?......... Screen resolution ni ipi?, screen size ni kiasi gani?Naomba kuuliza Wakuu, Hivi TV ikikaa karibu na Radio inaweza kuathiriwa kinamna yoyote? Aidha Rangi inapotea ya TV?(ina haribik)
TV ni LED FLAT SCREEN.
Msaada wadau.
Samsung LED FLAT SCREEN.Ni brand gani ya TV?, Na ni model gani?......... Screen resolution ni ipi?, screen size ni kiasi gani?
hiyo unayotaka yenye specification zote hizo unapata. kama upo dar karibu dukani kwetu. nitakufanyia bei nzuri kama mdau wa jamii forum.. tukutane PM kwa mawasiliano zaidiMkuu mi nahitaji New LED smart tv with:-
1. 1080P
2. 32 "screen.
3. USB
4. VGA
5. HDMI
6. DVB-T2 i. e Satellite TV.
Iwe LG, SONY au SAMSUNG.
Naomba munitajie model mulizonazo zenye hizo specifications na bei?
Labda kama Redio inapiga mdundo mkubwa sana kiasi cha kuitetemesha...Naomba kuuliza Wakuu, Hivi TV ikikaa karibu na Radio inaweza kuathiriwa kinamna yoyote? Aidha Rangi inapotea ya TV?(ina haribik)
TV ni LED FLAT SCREEN.
Msaada wadau.
Pamoja mkuu thanks in advance...........hiyo unayotaka yenye specification zote hizo unapata. kama upo dar karibu dukani kwetu. nitakufanyia bei nzuri kama mdau wa jamii forum.. tukutane PM kwa mawasiliano zaidi
Kama Sauti ni ya wastani, Ina maana hamna Tatizo?Labda kama Redio inapiga mdundo mkubwa sana kiasi cha kuitetemesha...
mkoa inafikaje???
KUNA LG HAPA HOME THEATER
- Tweeter zipo nne moja ilipotea ila nitaongeza moja ya panasonic
- Inasoma flash
- Inasoma cd zote
- Ina fm radio
- remote yake ipo
nataka 270k tu jamani kama upo serious nicheck kwa no 0716917896
note:kwa sasa sina sm yenye camera nzuri thats why nimeweka picha hizo but ipo katika hali nzuri
View attachment 685315
View attachment 685316 View attachment 685317
natuma kwa bus mkuu nicheck kwa no 0716917896mkoa inafikaje???
Mkuu salum nimeku PM ingia tumalize biashara...Samsung inch 40 LED tv....bei 700000![]()
Mkuu nimekupa mawasiliano yangu PM fanya kuingia tuyajenge
....LG Smart tv inch 47....bei 1000000![]()
Mkuu ni mpya au used?![]()
![]()
...inch 22 samsung and LG...LCD tv...usb, hdmi, full hd...bei 220000@1
Mkuu una inch22 Star x?
Sina 22"Mkuu una inch22 Star x?