HesabuKali
JF-Expert Member
- Jan 4, 2016
- 2,791
- 5,687
Mkuu nataka kununua tv kutoka kwenu ila mimi nipo dar je gharama za kuleta mpaka dar itakuwa juu yangu au wewe na ni kiasi gani, nilihitaji hiyo star x inch 40Tv zetu zote ni mpya na zina waranty, pia tunasafirisha kwa waliopo dar, tanga na arusha. Kwa mawasiliana 0718919725 & 0777650286 tupo Mtendeni Zanzibar. Karibuni
Mkuu hiyo ni bei ya kununua tu? Ukitaka kusafirishiwa pamoja na kodi ni 650000Mkuu nataka kununua tv kutoka kwenu ila mimi nipo dar je gharama za kuleta mpaka dar itakuwa juu yangu au wewe na ni kiasi gani, nilihitaji hiyo star x inch 40
Star x mkuu utapata kwa hiyo bajeti yakonahitaji tv 32" nina 350,000 cash
Nimekuelewa maalim, kwa hapo unguja mko sehemu gani ili nimtume kijana afike hapoMkuu hiyo ni bei ya kununua tu? Ukitaka kusafirishiwa pamoja na kodi ni 650000
Mtendeni mkuu, unaweza kumpa hiyo no. 0777650286Nimekuelewa maalim, kwa hapo unguja mko sehemu gani ili nimtume kijana afike hapo
Zinatoka china, ubora zinajitahidi, zibaingiliana rimoti na tv za samsung.Wadau vipi kuhusu ubora wa hizi tv za star x ??
Je ni zinatoka wapi?
Asante mkuu. Ngoja nijipange nichukue hiyoZinatoka china, ubora zinajitahidi, zibaingiliana rimoti na tv za samsung.
Ahsante sana nafikiri jumatano atakuja hapo yupo shamba kidogo kikaziMtendeni mkuu, unaweza kumpa hiyo no. 0777650286
Smart tv samsung inch 42 ila iwe 4K uhd bei gani mkuu
Samsung hakuna 42" bali kuna 40" bei ni 1200000 au lg 43" smart 4k uhd ni 1400000Smart tv samsung inch 42 ila iwe 4K uhd bei gani mkuu
View attachment 370763View attachment 370764View attachment 370765
Lg led 32"
Model: 32LF550D
Price: 480000