Algeciras
JF-Expert Member
- Oct 1, 2016
- 349
- 330
Iko inch 24@270,000Nataka 24 ya ofisi naweza ipata kesho?
0713662655
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Iko inch 24@270,000Nataka 24 ya ofisi naweza ipata kesho?
bei tafadhaliSamsung nch 43 HD ya mwaka 2017 mwezi wa 12 mpyaaaa nataka kwenda masomoni sina wakumuachia naking'amuzi cha Dstv chenye miezi miwili buree ndio kwanzi nimeichukuwa mwezi uliopita anaetakaView attachment 715290
Nahitaji hii mkuu
0777650286, 0718919725 nitafute tumalize kaziNahitaji hii mkuu
Nipe specifications na bei
Bei nimeweka hapo, spefications pia zinajieleza kweny box, ina watts 1000, inasaport bluetooth na madude mengne kibaoNipe specifications na bei
Mkuu ndo iyo unaiuza au kuna unazo nyingine??Bei nimeweka hapo, spefications pia zinajieleza kweny box, ina watts 1000, inasaport bluetooth na madude mengne kibao
Zipo nying tu mkuuMkuu ndo iyo unaiuza au kuna unazo nyingine??
Used unauzia bei ya dukani mkuu[emoji52]Nataka kubadilisha hii nchi 24 nichukue kubwa
Singsung nchi 24
Nakupa na stand kama zawadi
Bei ni laki mbili na 50
Haipungui kwakua sina njaa
0717184353
Haya mkuu cjui mara mwisho kwenda dukani ni liniUsed unauzia bei ya dukani mkuu[emoji52]
Mzeebaba njoo zile pande tukimbize kazi nimeamka na akili za usku leo....na kazi ya kijanja sana fanya uingie kule mkuu NAKUAMINIA
bein sports ntaipataje nami mkuu, naomba unijibu?Led toshiba tv invh 46...bei 800000![]()
![]()
Huwe na kingamuzi cha zanzbar kebo...ndio hio channel imo ktk icho kingamuzibein sports ntaipataje nami mkuu, naomba unijibu?