Special Thread: Wauza TV aina zote kwa bei nzuri tuuziane hapa

Afadhali umenisaidia mkuu.. nashkuru sana..
Maana humu wajuaji ni wengi mno
[emoji2] [emoji3] [emoji2] bado mkuu aujakutana nao kabisaa humu kuna wambea,wanaodandia vitu visivyowahusu na wala sio wateja, wanafiki,matapeli,wajuaji ndio kama wote, ili jukwaa ndio jukwaa la majungu kuliko jukwaa la simu kule humu mtu akikuchukia or akichukia item yako tegemea kuambiwa chochote kile
 
Aisee wewe ni ME or KE mbona upo kimipasho zaidi
 
WAKUU MIMI NAUZA TV
Size 25inch,Full HD,brand KODTEC full box manake nimeinunua ina miez kama miwili hivi.Kwa wanaohitaj tuwasiliane
 
Namba yako ya simu mkuu...na unapatikana wapi?nataka lg nchi 49 smart 4k(uhd) bei za model tofauti tofauti
 
mimi natafuta tv 43 inchi led smart yenye dicoder ndani yenye netflix aina ya evoil 4k
 
Nauza TV SAMSUNG

55" UHD 4K Flat Smart TV MU7000 Series 7

UA55MU7000KXZN - Model No.

Condition - Used - 3 MONTHS

Price - 1,600,000

Ipo Dar , kwa aliyieko dar akiitaka analetewa mpaka alipo bure kabisa na kufungiwa. Kisha ndio anatoa malipo yake baada ya kuridhika.[emoji108]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…