Special Thread: Wauza TV aina zote kwa bei nzuri tuuziane hapa

Mkuu Series 6 Zipo Madukani. Hata sisi Tunazo na hii TV unayoiona hapo ni ya 2018

Kwa kujifunza zaidi njoo Dukani kariakoo msimbazi ujionee Vitu. Pia ujipatie vitu. Karibu sana. 0717016789
 
Mna Roku TV?
Mkuu Series 6 Zipo Madukani. Hata sisi Tunazo na hii TV unayoiona hapo ni ya 2018

Kwa kujifunza zaidi njoo Dukani kariakoo msimbazi ujionee Vitu. Pia ujipatie vitu. Karibu sana. 0717016789
 
Hii tv bongo huipati labda Nairobi! Hawa jamaa zetu wanauza ma TV ya kizamani (2015) kwa bei mbaya sana! Wakati the same price unapata model ya 2017
Nimezungaka k.koo yote sijapa tcl tv yenye roku os,walizonazo zinarun linux au web os.
Kilichonikwamisha kuagiza ni msururu wa kodi kwa tv unachukua 450k ukijumlisha kodi plus usafiriinafika 1.2 m hapo ndo nikachoka.
 
Mkuu Series 6 Zipo Madukani. Hata sisi Tunazo na hii TV unayoiona hapo ni ya 2018

Kwa kujifunza zaidi njoo Dukani kariakoo msimbazi ujionee Vitu. Pia ujipatie vitu. Karibu sana. 0717016789
Naona ujamuelewa mleta mada,anasema zinazorun roku os na sio linux au web os
 
Duuuh!! Mbona ghali mno? Bora ununue hizi za kawaida afu uagize ile Roku kit uinstall
Nimezungaka k.koo yote sijapa tcl tv yenye roku os,walizonazo zinarun linux au web os.
Kilichonikwamisha kuagiza ni msururu wa kodi kwa tv unachukua 450k ukijumlisha kodi plus usafiriinafika 1.2 m hapo ndo nikachoka.
 
Watu wengine mnajifanya mko update mkiletewa izo tv mnaufyata, nivile tu mtu anataka aonekane yuko latest
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…