Special Thread: Wauza TV aina zote kwa bei nzuri tuuziane hapa

290000
[/QUOTEziko vizuri siku ukipata led au smart mtumba yenye hali nzuri unijuze Boss nilipie Ata kwa awamu mbili .Nimuwekee shemeji yako ndani nina mahaba makubwa na LG tv kaka hasa zile ambazo ni maalumu kuuzwa kwa mataifaya magharibi huko
 
Alhamdulillah, Zanzibar to Dar, moja kwa mteja mmoja alietusikia na kutuamini, Mungu akubariki
 
Subwoofer ya gari Inauzwa laki na hamsini (150,000)
Watts 1000
Ipo kwenye good condition yani ni ya kulipa na kuondoka nayo.

0625834779
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…