Humble African
JF-Expert Member
- Jul 28, 2013
- 4,781
- 14,415
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
800000Hadi Mwanza ni kiasi gani hiyo?
720i hata hivo zimeishaIna 1080p mkuu
IQ standard
Kubwa kuanzia 40" na kuendeleaKuna smart ya sumsung 1080p
IQ standard
Zinakuepo, mara nyingi za mtumbaPicha mkuu
Af hakuna nchi 37
IQ standard
Mkuu umeshapata? Naweza kukuletea tcl smart kwa 450000, au lg smart 32" kwa 600000
Mkuu hukua na haja ata yakumjibu muache aendelee na kuwatahadharisha, mimi sijali nafanya kazi kama kawaida nawatu wakila kona ya nchi hii, sijawahi kumdhulumu mtu, yupo mtu humu nilimtumia tv musoma ikafika imevunjika kioo, niliingia gharama ya kumtumia tv nyengine bila hata kumwambia achangie senti, mwenyewe tu aliamua gharama ya usafiri atalipa yeye. Sasa kama nataka kumdhulum si ningemdhulumu huyu?Mkuu pole kwa yaliyokukuta, lkn naomba nitofautiane na wewe katika hilo la kumuita Abdulwahid tapeli, mimi nipo bara mbali na Dar. Niliagiza mzigo wiki tatu zilizo pita na niliupata kama tulivyokubaliana, ukisema huyu ndugu ni tapeli inaniwia vigumu kukuelewa
mkuu vipi nikiwepo znz nikija kununu tv tcl smart 32 hapo dukani kwako hiyo bei itapungua?Mkuu umeshapata? Naweza kukuletea tcl smart kwa 450000, au lg smart 32" kwa 600000
410000mkuu vipi nikiwepo znz nikija kununu tv tcl smart 32 hapo dukani kwako hiyo bei itapungua?
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio mkuu apa mkabala na Maharuki msonga halua au karibu kabisa na msikiti wa Mtendeni, karibu sana, 0777650286 & 0718919725
Shukran mkuu kwa uaminif wako..nilipat mzigo wng ukiwa ktk hali nzur na salamaNdio mkuu apa mkabala na Maharuki msonga halua au karibu kabisa na msikiti wa Mtendeni, karibu sana, 0777650286 & 0718919725
Asante kiongozi nakushukuru sana kwa kampani yako, Mungu akubariki sanaShukran mkuu kwa uaminif wako..nilipat mzigo wng ukiwa ktk hali nzur na salama
Sent using Jamii Forums mobile app
hauna brand nyingine tofauti na hizo?Star x curved led 32
430,000/
[TAG]Adulwahid[/TAG] hiyo shi ngapi?Kubwa kuanzia 40" na kuendeleaView attachment 558911
Iko lg,tcl smart na haierhauna brand nyingine tofauti na hizo?