ChamaDola
JF-Expert Member
- Dec 23, 2016
- 3,431
- 2,804
shilingi ngapi!?Hii inasifa zote hizo ulizotaja isipokua hiyo ya king'amuzi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
shilingi ngapi!?Hii inasifa zote hizo ulizotaja isipokua hiyo ya king'amuzi
110000shilingi ngapi!?
Bei hiyo hiyo itakufika mpaka huko meatu, brand hii ni technica, ina suport flsh, haichagui cd, ina kioo chake inchi 9, unapewa na headphone na car chargerAbdulwahid niko meatu mpaka huku tsh ngapi!?
naomba specifications za hii gadget!
brand name,na vinginevyo!
0777650286 & 0718919725Abdulwahid drop your number
270000
Singsung 25"Hii ya 270000 ni kampuni gani mkuu?
Asante sana kiongozi, Allah akubariki sanaAbdulwahid unaifanya biashara ya mtandao kuwa nyepesi sana hapa bongo, natamani wote wangekuwa kama wewe aisee. big up man, Tuendelee fanya kazi.
pamoja mkuu. AmiinAsante sana kiongozi, Allah akubariki sana
naomba kujua bei ya star x...50 or 55 inches, na tcl 50 inchesWakuu nawashukuru sana kwa kuleta ushuhuda, ukweli wapo wengi nimefanya nao biashara humu sema wengi hawapendi kuleta mrejesho baada ya kupokea mizigo yao, hata hivo nawashukuru nyote kwa kutuamini kufanikisha bishara hii
Star x 50" 850000/-, 55" 1.1m, tcl 50" hamna kwa sasanaomba kujua bei ya star x...50 or 55 inches, na tcl 50 inches
Mkuu sony hometheatre tayari zimeingiaNaomba hizo Sony zikifika tujulishane
DAV- DZ650, bei 650000Mkuu sony hometheatre tayari zimeingia![]()
![]()
weka mzgo wote uloingia mkuuMkuu sony hometheatre tayari zimeingia![]()
![]()
Ni hizo hometheatre na tv za star x smart 50" tu mkuuweka mzgo wote uloingia mkuu