makua
JF-Expert Member
- Dec 9, 2013
- 208
- 39
Shukran0654468393 mtafuteni huyo mshkaj anadili na tv ndogo bila ya shaka mtapata kwa bajeti hizo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shukran0654468393 mtafuteni huyo mshkaj anadili na tv ndogo bila ya shaka mtapata kwa bajeti hizo
Asante mkuu0654468393 mtafuteni huyo mshkaj anadili na tv ndogo bila ya shaka mtapata kwa bajeti hizo
Shehe nipe bei ya Sony bravia inch 32 na pamoja na Samsung inch 32
Boss tv ipoNami ninayo used sony tv inchi 21 nataka elfu 50 tu fasta kwa picha ni pm
Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
Samsung 450000, sony hamnaShehe nipe bei ya Sony bravia inch 32 na pamoja na Samsung inch 32
Mkuu, bajet ya laki 4 nitapata flat tv ya inch ngp na bei gan[/QUOTE]Mkuu OTE="Abdulwahid, post: 19390179, member: 218718"]0654468393 mtafuteni huyo mshkaj anadili na tv ndogo bila ya shaka mtapata kwa bajeti hizo
Mkuu niko mwanza nahitaji TCL nchi 32, namlipa huku hukuWewe tu mkuu ukiwa tayari niambie niipakie, mtu yupo utamkabidhi hukohuko
Kwa xperience na ushauri... Hii na Samsung inatafauti gani? Apart from brand...quality ya picture ikoje? Or kuna complain umewahi kupata?Star x 50" 850000/-, 55" 1.1m, tcl 50" hamna kwa sasa
Star x 330000natafta 32" TV bei ya mkaa
Samahani Mwanza hatuna muakilishi, kama utatuamini lipa kwanza tukutumie tv yakoMkuu niko mwanza nahitaji TCL nchi 32, namlipa huku huku
Ubora wa picha haziwezi kuwa sawa, samsung ina picha angavu zaidi ingawa star x nayo inajitahidi, mpaka sasa nashkuru sijawahi kupata malalamiko yoyoteKwa xperience na ushauri... Hii na Samsung inatafauti gani? Apart from brand...quality ya picture ikoje? Or kuna complain umewahi kupata?
ata me npo mza pia nahitaji TLCSamahani Mwanza hatuna muakilishi, kama utatuamini lipa kwanza tukutumie tv yako
Fanya hivo tv yako itakufika baada ya siku 2, nishawatumia wengi huko mwanzaata me npo mza pia nahitaji TLC
ita kua kias ganFanya hivo tv yako itakufika baada ya siku 2, nishawatumia wengi huko mwanza
450000ita kua kias gan
Nipe bei mkuuSamahani Mwanza hatuna muakilishi, kama utatuamini lipa kwanza tukutumie tv yako
Gharama za usafiri450000