Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa Tsh 400,000 . Ntapata LG au Hisense smart TV 4K inchi 32?binrashid_electronics
hatuna hizo TVKwa Tsh 400,000 . Ntapata LG au Hisense smart TV 4K inchi 32?
Hisense 85A 7500 inch85 mpya toleo jipya munauzajeinategemea unataka kabila gani, tunazo lg, samsung, zec na hisense unataka ipi mkuu 0718919725 for info
tanga mpo sehemu gani kakawakuu kwa sasa tuna wawakilishi wetu dar na tanga hivyo unaweza kupata tv yako bila ya waswas wowote walio maeneo hayo, karribuni mujinunulie flat screen kwa bei nafuu kabisa, lg, samsung, hisense, tcl nanyengunezo, contact 0718919725, 0777650286, tupo mtendeni zanzibar
Mkuu ikikupendeza kuna 530k,naomba niweke ombi!!Nina TV aina ya Sundar inch 43, smart tv, Andloid,LED TV,Double screen,,bado mpyaaaaa na box lake,,iko Mwanza,bei ni laki 6 bei ya kutupa,dukan ni laki 8, pia kuna dish la Azam jipya bei 120,000/, vyote viko mwanza
Mawasiliano: 0621047159
View attachment 2041632
Kubadili taa kwa flat ya inch 42 ni bei gani?Kama flat tv yako ina changamoto imeharibika au haifanyi kazi (mbovu)
Karibu tukumalizie tatizo lako mara moja
Tatizo lolote la tv tunasolve..
Ofisi ipo ilala karume.
NB: KWA WALIOVUNJIKIWA VIOO VIMEKUA ADIM SANA.. NA CHANGAMOTO NI BEI..
Pia nanunua tv mbovu zilizoshindikana kama spea
Call/WhatsApp 0744680670View attachment 1986048View attachment 1986049View attachment 1986050View attachment 1986051View attachment 1986052View attachment 1986053
Piga simu 0621047159,,kama ni mnunuzi serious,kama hauko serious endelea kutoa commentMkuu ikikupendeza kuna 530k,naomba niweke ombi!!
Star X kwa sasa yeye ndio kaliteka soko la tv za bei ndogo.. Ni kama simu tuu when you compare tecno na itel..Naomba kufahamishwa...
Star x ni tv nzuri kuliko Blackstone...
Leo nimekwenda dukani,nimekuta star x bei yake iko juu sana..kwa tathimini yangu sijajua sababu.
Bei juu bei gani ? Na je kwa inch ngapNaomba kufahamishwa...
Star x ni tv nzuri kuliko Blackstone...
Leo nimekwenda dukani,nimekuta star x bei yake iko juu sana..kwa tathimini yangu sijajua sababu.
So ubora zinakaribiana tu.Star X kwa sasa yeye ndio kaliteka soko la tv za bei ndogo.. Ni kama simu tuu when you compare tecno na itel..
Star x inch 32 ni tsh 380kBei juu bei gani ? Na je kwa inch ngap
TV zote zimefumuka bei now, hizo blackstone na star x zote ni sawa tu, hakuna hata mbora zaid ya mwenzakeStar x inch 32 ni tsh 380k
Blackstone inch 32 ni tsh 330k
LG ama Samsung inch 32TV zote zimefumuka bei now, hizo blackstone na star x zote ni sawa tu, hakuna hata mbora zaid ya mwenzake