Watanzania waliosoma Russia walikuwa kama Dr.Shika, sijui walipatwa na nini.Russia waliwapa silaha watanzania vita ya Idi amini .Na warusi walisomesha watanzania wengi .Kwa hiyo Tanzania wapo loyal kwa mrusi
Solution nzuri ilikuwa kuwakatalia wamarekani, kama Victor Yanukovich alivyofanya; ingawa matokeo yake aliishia kupinduliwa kwa mipango iliyosukwa na hao hao wamarekani!Okay sawa!
Kwahiyo solution ni kwenda kumpiga na kuiharibu nchi ya mwenzie!? Duh
[emoji23][emoji23][emoji23]duh jmnWatanzania waliosoma Russia walikuwa kama Dr.Shika, sijui walipatwa na nini.
Emergency.....Vita ya pili ya dunia Uingereza ilibanwa ikawa haina supplies. Marekani ilitengeneza meli ndogo ndogo nyingi zinaitwa Liberty, meli inabeba tani 10,600. Tangu 1941 hadi 1945 meli 2,700+ ziliundwa kwa kutumia shipyards 18 za Marekani. Wastani wa meli moja kuundwa kwa siku tatu. Na kipindi kile hakuna kompyuta, welding ndio imegundulika haijazoeleka. Leo kuna hadi robotics na 3D printing na vyanzo vya gesi sehemu kibao. Si unajaza silaha Mediterranean sea unabeba gesi kutoka Qatar kwa tankers.
Marekani ilikuwa inatoa supplies na vyakula kwa Uingereza na Ufaransa, inapigana na Ujerumani, inatoa msaada kwa Soviet Union na wakati huo huo inapigana na Japan.
Kabla ya Nord Stream 1 Ulaya ilikuwa inapataje gesi? Wanachukua 60% ya Russian gas kwa kuwa ni more economic and reliable, wasipoinunua Urusi watapata hasara waongeze gharama za uzalishaji na wapate shida kwenye kufikia capacity wanayopokea. Lakini wakati huohuo wao watakuwa na option ya kununua gesi kwingine, ila Urusi atakuwa hana option ya kuuza gesi kwingine. Nadhani uashajua nani atakula jeuri yake
Nimeona Urusi wameongeza magari mengi yaliyo na self~propelling missiles, ingawa watashinda ila wamekutana na upinzani tofauti na walivyotarajia.Tusidanganyane Russia kashindwa ingia Kyiv
View attachment 2132163
Mji Mkuu wa Ukraine wamechakazwa hasa, labda watumie drone
Wanaume wenyewe wanaogopa hadi mende sembuse kupigana vitaHilda Newton kama ni wewe kweli watake radhi wanaume na jamii nzima ya Watanzania
View attachment 2132164
Yupo sahihi...
Kosa lake liko wapi hapo?Hilda Newton kama ni wewe kweli watake radhi wanaume na jamii nzima ya Watanzania
View attachment 2132164
Hao watakuwa wanaume wa Dar, sisi wa huku mikoani nadhani huyo mdada hatujui.Hilda Newton kama ni wewe kweli watake radhi wanaume na jamii nzima ya Watanzania
View attachment 2132164
Amesema ukweli.
Mateso anayopitia Freeman Mbowe unaweza kuamini Bavicha ina vijana wa kiume au ni branch ya Bawacha?!!!
Hata mchina rafikiye wa kufa na kuzikana ashaanza kumgeuka benki zake mbili kubwa zimeaanza i.e.Chinese banks limit financing for Russian purchases. . Putin hata akishinda ila kiuchumi atakuwa kapoteza vingi na hapo ndipo ninapoona kweli US baba lao kapigana vita haramu nyingi tu but si urusi wala china waliomwekea vikwazo vya biashara maana walijua wanaihitaji sana US na rafikize aisee kweli bosi anuniwi!Mpaka sasa vita ya uchumi na mahusiano mazuri kati ya Russia na wana wa dunia hii Russia anapoteza.
Kama jamii ya Russia haioni umuhimu wa hii vita ila Puttin kalazimisha basi lawama nyingi zitakuwa juu yake.
Kwani Mkuu mlikaa kikao na Urusi mkakubaliana by 3 days muwe mmchukua Ukraine yote au Putin aliwahi kueleza kwamba ndani ya siku 3 atakuwa ameimaliza Ukraine???,Au wewe utalaamu wako wa mambo ya vita yanataka within 3 days uwe tayari umeteka Nchi nzima??.Hitler alivyo pigana na Russia akawakuta Russia wamejiandaa .Mpaka Sasa Hivi Russia wanahangaika kuchukia ukraine. It means Russian wali underestimate ukraine .Russians wao ndio wakuamua kumtoa madarakani na jeshi kuchukua nchi that will be nice
Wanaume wa Dar wanakimbia kimbia hovyo hata panya Road kwao hawajiwezi.Hilda Newton kama ni wewe kweli watake radhi wanaume na jamii nzima ya Watanzania
Kama mwanasiasa unayejinasibu umetukosea sana. Kwetu tulio waumini wa imani yake mwanaume ni heshma. Ukimdharau mwanaume umemdharau aliyempa mamlaka
Hilda unaweza kuwa sahihi kwa wanaume unaowajua wewe ila wengine ambao tuna wanaume wa shoka viongozi wetu, watoto wetu wa kiume, kaka zetu, waume zetu. baba zetu wakituhadithia walivyoenda vitani uganda umetukosea mno kuipigania nchi umetukosea sana
View attachment 2132164