LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

Live coverage on JamiiForums
Mpaka sasa vita ya uchumi na mahusiano mazuri kati ya Russia na wana wa dunia hii Russia anapoteza.

Kama jamii ya Russia haioni umuhimu wa hii vita ila Puttin kalazimisha basi lawama nyingi zitakuwa juu yake.
 
Vita ya pili ya dunia Uingereza ilibanwa ikawa haina supplies. Marekani ilitengeneza meli ndogo ndogo nyingi zinaitwa Liberty, meli inabeba tani 10,600. Tangu 1941 hadi 1945 meli 2,700+ ziliundwa kwa kutumia shipyards 18 za Marekani. Wastani wa meli moja kuundwa kwa siku tatu. Na kipindi kile hakuna kompyuta, welding ndio imegundulika haijazoeleka. Leo kuna hadi robotics na 3D printing na vyanzo vya gesi sehemu kibao. Si unajaza silaha Mediterranean sea unabeba gesi kutoka Qatar kwa tankers.

Marekani ilikuwa inatoa supplies na vyakula kwa Uingereza na Ufaransa, inapigana na Ujerumani, inatoa msaada kwa Soviet Union na wakati huo huo inapigana na Japan.

Kabla ya Nord Stream 1 Ulaya ilikuwa inapataje gesi? Wanachukua 60% ya Russian gas kwa kuwa ni more economic and reliable, wasipoinunua Urusi watapata hasara waongeze gharama za uzalishaji na wapate shida kwenye kufikia capacity wanayopokea. Lakini wakati huohuo wao watakuwa na option ya kununua gesi kwingine, ila Urusi atakuwa hana option ya kuuza gesi kwingine. Nadhani uashajua nani atakula jeuri yake
Emergency.....
Sio sawa na maisha ya kawaida mkuu, inawezekana kusafirisha ila inagharama.
Watakao pata hizo gharama ni raia wa kawaida wa Ulaya, asa watakuwa wapumbavu kukubali gharama zote hizo ili tu, Ukraine aingie NATO.
 
Mpaka sasa vita ya uchumi na mahusiano mazuri kati ya Russia na wana wa dunia hii Russia anapoteza.

Kama jamii ya Russia haioni umuhimu wa hii vita ila Puttin kalazimisha basi lawama nyingi zitakuwa juu yake.
Hata mchina rafikiye wa kufa na kuzikana ashaanza kumgeuka benki zake mbili kubwa zimeaanza i.e.Chinese banks limit financing for Russian purchases. . Putin hata akishinda ila kiuchumi atakuwa kapoteza vingi na hapo ndipo ninapoona kweli US baba lao kapigana vita haramu nyingi tu but si urusi wala china waliomwekea vikwazo vya biashara maana walijua wanaihitaji sana US na rafikize aisee kweli bosi anuniwi!
 
Hitler alivyo pigana na Russia akawakuta Russia wamejiandaa .Mpaka Sasa Hivi Russia wanahangaika kuchukia ukraine. It means Russian wali underestimate ukraine .Russians wao ndio wakuamua kumtoa madarakani na jeshi kuchukua nchi that will be nice
Kwani Mkuu mlikaa kikao na Urusi mkakubaliana by 3 days muwe mmchukua Ukraine yote au Putin aliwahi kueleza kwamba ndani ya siku 3 atakuwa ameimaliza Ukraine???,Au wewe utalaamu wako wa mambo ya vita yanataka within 3 days uwe tayari umeteka Nchi nzima??.
 
Hilda Newton kama ni wewe kweli watake radhi wanaume na jamii nzima ya Watanzania

Kama mwanasiasa unayejinasibu umetukosea sana. Kwetu tulio waumini wa imani yake mwanaume ni heshma. Ukimdharau mwanaume umemdharau aliyempa mamlaka

Hilda unaweza kuwa sahihi kwa wanaume unaowajua wewe ila wengine ambao tuna wanaume wa shoka viongozi wetu, watoto wetu wa kiume, kaka zetu, waume zetu. baba zetu wakituhadithia walivyoenda vitani uganda umetukosea mno kuipigania nchi umetukosea sana

View attachment 2132164
Wanaume wa Dar wanakimbia kimbia hovyo hata panya Road kwao hawajiwezi.
Namuunga mkono Hilda, wanaume wa bongo leo tungejisiliba mahipsi ya matambara
 
Back
Top Bottom