Vijana wengi wa Chadema hawajielewi
Hao si ndugu zako, wananihusu Nini?Waulize covid 19 hapo Ufipa!
Labda wewe kama ni mgeni wa jiji utabisha mshikemshike unaotokea wakitokea panya Road, achana na wale mbwa mwitu wa zamani waliokuwa wakibaka, kuua na kulawitiApproved
Bavicha wanunuliwe ma wig na madera
Amesema baadhi sio wote mbona unacomplicate mambo
Hilda Newton kama ni wewe kweli watake radhi wanaume na jamii nzima ya Watanzania
Kama mwanasiasa unayejinasibu umetukosea sana. Kwetu tulio waumini wa imani yake mwanaume ni heshma. Ukimdharau mwanaume umemdharau aliyempa mamlaka
Hilda unaweza kuwa sahihi kwa wanaume unaowajua wewe ila wengine ambao tuna wanaume wa shoka viongozi wetu, watoto wetu wa kiume, kaka zetu, waume zetu. baba zetu wakituhadithia walivyoenda vitani uganda umetukosea mno kuipigania nchi umetukosea sana
View attachment 2132164
MUNGU Ibariki Tanzania
Yeye alimanisha wanaume wa darisalama siyo wa mikoani buana et mara muraHilda Newton kama ni wewe kweli watake radhi wanaume na jamii nzima ya Watanzania
Kama mwanasiasa unayejinasibu umetukosea sana. Kwetu tulio waumini wa imani yake mwanaume ni heshma. Ukimdharau mwanaume umemdharau aliyempa mamlaka
Hilda unaweza kuwa sahihi kwa wanaume unaowajua wewe ila wengine ambao tuna wanaume wa shoka viongozi wetu, watoto wetu wa kiume, kaka zetu, waume zetu. baba zetu wakituhadithia walivyoenda vitani uganda umetukosea mno kuipigania nchi umetukosea sana
View attachment 2132164
MUNGU Ibariki Tanzania
Stupid people discuss stupid things.Amesema ukweli.
Mateso anayopitia Freeman Mbowe unaweza kuamini Bavicha ina vijana wa kiume au ni branch ya Bawacha?!!!
Tofautisha wanaume na wanaume wa bongo
Kwa hiyo anavyokaa gerezani anapata maslahi ganiKila anayetetea maslahi yake atafanya kama mbowe anavyofanya
Au unataka kutuambia anapitia hayo pasi maslahi au ulitaka ccm waungane nae huko gerezani
Approved
Bavicha wanunuliwe ma wig na madera
Yeye alimanisha wanaume wa darisalama siyo wa mikoani buana et mara mura
Huyo ni mrs ccm mkuuKumbe na wewe Ni wa hovyo!
Kwa hiyo anavyokaa gerezani anapata maslahi gani
Ccm wanaunganaje nae gerezani wakati wapo busy wanakula kwa urefu wa kamba zao
Kumbe na wewe Ni wa hovyo!
Umesoma ulichopost?Wapi alipoweka hilo neno "baadhi"?