LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

Live coverage on JamiiForums

Tofautisha wanaume na wanaume wa bongo
 
Yeye alimanisha wanaume wa darisalama siyo wa mikoani buana et mara mura
 
Mama D dunia inahangaika kumsogeza mwanamke katika level ya 50/ 50 kwenye decision making ila uko bize kupraise mfumo dume.

Wewe ni mama kweli?
 
Kwa hiyo anavyokaa gerezani anapata maslahi gani

Ccm wanaunganaje nae gerezani wakati wapo busy wanakula kwa urefu wa kamba zao

Anasuka mipango kama ya Nelson Mandela
Au anakosea!?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…