LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

Live coverage on JamiiForums
Hata mchina rafikiye wa kufa na kuzikana ashaanza kumgeuka benki zake mbili kubwa zimeaanza i.e.Chinese banks limit financing for Russian purchases. . Putin hata akishinda ila kiuchumi atakuwa kapoteza vingi na hapo ndipo ninapoona kweli US baba lao kapigana vita haramu nyingi tu but si urusi wala china waliomwekea vikwazo vya biashara maana walijua wanaihitaji sana US na rafikize aisee kweli bosi anuniwi!
Huwezi sema atapoteza yeye lengo lake ni kuprotect mipaka yake, na sio uchumi wake.atapoteza kama lengo lake lilikuwa Ku protect uchumi wake basi asinge ivamia Ukraine.
 
Kwahiyo unataka tumvishe kaka freeman wig na dera, na mnyika na baba chanja wangu. Hii kauli kutolewa na mwanasiasa sio kabisa. Hili ni tusi

Kwako wewe sio kwa wanaume wote

freeman na mnyika kwako wewe ndio wanaume pekee safi sana, kwaiyo wakina nape makonda makamba, lizi unawaweka kundi gani bibie?
 
Vijana wengi wa Chadema hawajielewi
Huyu ndio anayejielewa
1645895935145.png
 
Huu mzozo ukileta ushabiki unalishwa taarifa nyingi zisizo na uhalisia.

Kwa sasa naona kila mtu mwandishi wa habari kwenye hii vita.
 
Putin will win the battle but he will loose the war at the end. He will cripple Ukraine but he will never rule it. People are agitating, taking matter on their own hand. The start of his demise and that of his empire start in winning Kiev. Ukraine has such a wonderful President. In the face of danger against him, he has decided to stay and fight unlike the Afghanistan president. Also German and Nato will pay for being a bystander. It is such hopeless that they dont want to ban Russia from SWITF transactions medium. He need to feel the full blunt of his decision to sign the decree to invade. I pray that Kiev hold on for a month just enough for the Russian populace to feel the blunt of the sanctions and start asking question. It is easy to contain a well fed dog than an hangry one. Russians need to feel the pinch of the war from their own pocket.
 
Kuna wakati wabunge wasiopita JKT walitakiwa kwenda kwa mafunzo ya wiki sita.

Nakumbuka alienda Mwigullu Nchemba, Halima Mdee, Bulaya na Nassari kama sijakosea, the rest walinyuti hadi bunge linavunjwa.

Nimekupa mfano tu!

Halafu wakiteuliwa na kuapishwa watu wanalalamika
Kwanini watu sio waelewa!?
 
Inabidi awe amejipanga haswa maana kuna uwezekano vita halisi ikaanza baada ya vita ya mabunduki na mabomu kuisha.
Hata kama kajipanga uharibifu wa kiuchumi hawezi epuka na shida ya vikwazo hivi vitapelekea maisha ya warusi kuzidi kuwa magumu na automatically italeta utawala wake kuchukiwa na watu sasa aombe wanaomchukia wawe kidogo wakiwa wengi na kwa propaganda nzito za us na nduguze ndo mwanzo wa maandamano na yatampa shida. Shida nyingine ni hao wafanyabishara wakubwa na familia zao wanapozidi kuona wanapoteza mali zao kwa ajili ya mtu mmoja je wataendelea kusimama naye kwa 100% au mahaba kwa putin yataanza kupoa!!!!
 
Kwahiyo unataka tumvishe kaka freeman wig na dera, na mnyika na baba chanja wangu. Hii kauli kutolewa na mwanasiasa sio kabisa. Hili ni tusi

Kwako wewe sio kwa wanaume wote
Kama mtu kudai katiba mpya kidogo tu, wapuuzi wamekimbilia kumuita gaidi. Unadhani wanaweza kua na ujasiri wa kwenda vitani?
 
Huwezi sema atapoteza yeye lengo lake ni kuprotect mipaka yake, na sio uchumi wake.atapoteza kama lengo lake lilikuwa Ku protect uchumi wake basi asinge ivamia Ukraine.
Atapoteza kama vita ya uchumi juu yake itakuwa kubwa kuliko alivyotarajia.

Wakati mwingine mahala fulani mamno huenda tofauti na matarajio na unajikuta umepoteza.
 
Hakuna video. Hakuna picha ya kusapoti taarifa zao zinazoonyesha hayo yanayofanyika.

Mbona leo walivyowakamata wanajeshi wa Chechen 4 kuwatoa ndani ya gari na kuwapiga risasi na kuwaua wameonyesha video yao. Chechen walitoka jana jeshi la askari 1000. Leo 4 wameuuliwa tena muda huu. Iweje hizo za Urusi washindwe kuonyesha video hao askari waliyo waua kwa kiasi hicho wanachokisema?

Ukraine leo asubuhi wamesema Llyushin ndege ya Urusi yenye uwezo wa kubeba wanajeshi 200 wameilipua. Lakini mpaka sasa hivi hakuna picha, hakuna video.

Jana asubuhi ikatangazwa wamelipua ndege SU-27 ya Mrusi kumbe wametungua ndege ya kwao. Kucheki engine ni ndege ya kwao.

Ukraine walionyesha video wamewakamata askari wa jeshi la Urusi na kuonyesha wanawahoji hao mateka. Kuna kitu kinaitwa accent/lafudhi. Lafudhi yao si ya Warusi wana lafudhi ya Kiukraine. Ni maigizo wanafanya.

Zelensky sasa huko twitter anadai meli ya kivita ya Turkey imeizuia meli ya kivita ya Urusi kupita black sea. Lakini mamlaka ya Turkey kwa haraka imejibu muda huu yaani sasa hivi kuwa hiyo taarifa ni ya uongo.

View attachment 2132037

Ukraine kwa sasa hana airforce. Ukraine kwa sasa hana air defensive system. Ukraine hana drone. Ukraine hao hao wameua wanajeshi 3500 wa Urusi kwa siku 2. Amewaua kwa nini? Kwa vifaru?

Ukraine wanafanya propaganda nyingi sana kwenye mitandao ya kijamii ila siwalaumu kwani ni jambo zuri hususani nyakati za vita. Unabusti morali ya raia na wapambanaji wako. Ni psychological warfare. Ni hizi habari Warusi wakizisoma zinawachanganya maandamano yanazidi Urusi na Putin anapata pressure ndani ya nchi kutoka kwa raia. Hapa wamempiga bao Putin.
(Hebu pitia humu kidogo)
 
Hata kama kajipanga uharibifu wa kiuchumi hawezi epuka na shida ya vikwazo hivi vitapelekea maisha ya warusi kuzidi kuwa magumu na automatically italeta utawala wake kuchukiwa na watu sasa aombe wanaomchukia wawe kidogo wakiwa wengi na kwa propaganda nzito za us na nduguze ndo mwanzo wa maandamano na yatampa shida. Shida nyingine ni hao wafanyabishara wakubwa na familia zao wanapozidi kuona wanapoteza mali zao kwa ajili ya mtu mmoja je wataendelea kusimama naye kwa 100% au mahaba kwa putin yataanza kupoa!!!!
Naambiwa aliomba radhi kwa wafanyabiashara wake. Sijaconfirm.
 
Back
Top Bottom