Econometrician
JF-Expert Member
- Oct 25, 2013
- 16,879
- 31,253
Huwezi sema atapoteza yeye lengo lake ni kuprotect mipaka yake, na sio uchumi wake.atapoteza kama lengo lake lilikuwa Ku protect uchumi wake basi asinge ivamia Ukraine.Hata mchina rafikiye wa kufa na kuzikana ashaanza kumgeuka benki zake mbili kubwa zimeaanza i.e.Chinese banks limit financing for Russian purchases. . Putin hata akishinda ila kiuchumi atakuwa kapoteza vingi na hapo ndipo ninapoona kweli US baba lao kapigana vita haramu nyingi tu but si urusi wala china waliomwekea vikwazo vya biashara maana walijua wanaihitaji sana US na rafikize aisee kweli bosi anuniwi!
Una upeo mdogo sana, huwa unazungumza pasipo kufikiri au kuwa na evidenceAnasuka mipango kama ya Nelson Mandela
Au anakosea!?
Kwahiyo unataka tumvishe kaka freeman wig na dera, na mnyika na baba chanja wangu. Hii kauli kutolewa na mwanasiasa sio kabisa. Hili ni tusi
Kwako wewe sio kwa wanaume wote
Natofautishaje sasa!? Au wapange tuwatofautishe
Onyo moja tu la Muroto ulichoka hadi mkia!Stupid people discuss stupid things.
Kuna wakati wabunge wasiopita JKT walitakiwa kwenda kwa mafunzo ya wiki sita.
Nakumbuka alienda Mwigullu Nchemba, Halima Mdee, Bulaya na Nassari kama sijakosea, the rest walinyuti hadi bunge linavunjwa.
Nimekupa mfano tu!
Utakuta hata kusoma hajui, yupo busy anabisha upuuziUmesoma ulichopost? View attachment 2132195
Hata kama kajipanga uharibifu wa kiuchumi hawezi epuka na shida ya vikwazo hivi vitapelekea maisha ya warusi kuzidi kuwa magumu na automatically italeta utawala wake kuchukiwa na watu sasa aombe wanaomchukia wawe kidogo wakiwa wengi na kwa propaganda nzito za us na nduguze ndo mwanzo wa maandamano na yatampa shida. Shida nyingine ni hao wafanyabishara wakubwa na familia zao wanapozidi kuona wanapoteza mali zao kwa ajili ya mtu mmoja je wataendelea kusimama naye kwa 100% au mahaba kwa putin yataanza kupoa!!!!Inabidi awe amejipanga haswa maana kuna uwezekano vita halisi ikaanza baada ya vita ya mabunduki na mabomu kuisha.
SAA 1 kubwa sana akitaja kuimaliza hata ndani ya dakika 10 anao huo uwezo,na wasije kulalalimika kuwa Russia anaua RAIA.Russia akitaka kumaliza kazi hata kwa lisaa limoja lakini yatakuwa ni mauaji ya kutisha ndani ya Ukraine na hamkawii kupiga kelele hapa Urusi mwonevu.
Mchele wa mbeya umepanda bei kwa sasa ni 2700Huyu ndio anayejielewa
View attachment 2132200
Kama mtu kudai katiba mpya kidogo tu, wapuuzi wamekimbilia kumuita gaidi. Unadhani wanaweza kua na ujasiri wa kwenda vitani?Kwahiyo unataka tumvishe kaka freeman wig na dera, na mnyika na baba chanja wangu. Hii kauli kutolewa na mwanasiasa sio kabisa. Hili ni tusi
Kwako wewe sio kwa wanaume wote
Atapoteza kama vita ya uchumi juu yake itakuwa kubwa kuliko alivyotarajia.Huwezi sema atapoteza yeye lengo lake ni kuprotect mipaka yake, na sio uchumi wake.atapoteza kama lengo lake lilikuwa Ku protect uchumi wake basi asinge ivamia Ukraine.
(Hebu pitia humu kidogo)Hakuna video. Hakuna picha ya kusapoti taarifa zao zinazoonyesha hayo yanayofanyika.
Mbona leo walivyowakamata wanajeshi wa Chechen 4 kuwatoa ndani ya gari na kuwapiga risasi na kuwaua wameonyesha video yao. Chechen walitoka jana jeshi la askari 1000. Leo 4 wameuuliwa tena muda huu. Iweje hizo za Urusi washindwe kuonyesha video hao askari waliyo waua kwa kiasi hicho wanachokisema?
Ukraine leo asubuhi wamesema Llyushin ndege ya Urusi yenye uwezo wa kubeba wanajeshi 200 wameilipua. Lakini mpaka sasa hivi hakuna picha, hakuna video.
Jana asubuhi ikatangazwa wamelipua ndege SU-27 ya Mrusi kumbe wametungua ndege ya kwao. Kucheki engine ni ndege ya kwao.
Ukraine walionyesha video wamewakamata askari wa jeshi la Urusi na kuonyesha wanawahoji hao mateka. Kuna kitu kinaitwa accent/lafudhi. Lafudhi yao si ya Warusi wana lafudhi ya Kiukraine. Ni maigizo wanafanya.
Zelensky sasa huko twitter anadai meli ya kivita ya Turkey imeizuia meli ya kivita ya Urusi kupita black sea. Lakini mamlaka ya Turkey kwa haraka imejibu muda huu yaani sasa hivi kuwa hiyo taarifa ni ya uongo.
View attachment 2132037
Ukraine kwa sasa hana airforce. Ukraine kwa sasa hana air defensive system. Ukraine hana drone. Ukraine hao hao wameua wanajeshi 3500 wa Urusi kwa siku 2. Amewaua kwa nini? Kwa vifaru?
Ukraine wanafanya propaganda nyingi sana kwenye mitandao ya kijamii ila siwalaumu kwani ni jambo zuri hususani nyakati za vita. Unabusti morali ya raia na wapambanaji wako. Ni psychological warfare. Ni hizi habari Warusi wakizisoma zinawachanganya maandamano yanazidi Urusi na Putin anapata pressure ndani ya nchi kutoka kwa raia. Hapa wamempiga bao Putin.
Naambiwa aliomba radhi kwa wafanyabiashara wake. Sijaconfirm.Hata kama kajipanga uharibifu wa kiuchumi hawezi epuka na shida ya vikwazo hivi vitapelekea maisha ya warusi kuzidi kuwa magumu na automatically italeta utawala wake kuchukiwa na watu sasa aombe wanaomchukia wawe kidogo wakiwa wengi na kwa propaganda nzito za us na nduguze ndo mwanzo wa maandamano na yatampa shida. Shida nyingine ni hao wafanyabishara wakubwa na familia zao wanapozidi kuona wanapoteza mali zao kwa ajili ya mtu mmoja je wataendelea kusimama naye kwa 100% au mahaba kwa putin yataanza kupoa!!!!