Mwulize huyo ndezi US alipigana miaka mingap AfghanstanKwani Mkuu mlikaa kikao na Urusi mkakubaliana by 3 days muwe mmchukua Ukraine yote au Putin aliwahi kueleza kwamba ndani ya siku 3 atakuwa ameimaliza Ukraine???,Au wewe utalaamu wako wa mambo ya vita yanataka within 3 days uwe tayari umeteka Nchi nzima??.
sawa muda ni mwalimu mzuri sanaHuwezi sema atapoteza yeye lengo lake ni kuprotect mipaka yake, na sio uchumi wake.atapoteza kama lengo lake lilikuwa Ku protect uchumi wake basi asinge ivamia Ukraine.
Kama mtu kudai katiba mpya kidogo tu, wapuuzi wamekimbilia kumuita gaidi. Unadhani wanaweza kua na ujasiri wa kwenda vitani?
HeheeHilda Newton kama ni wewe kweli watake radhi wanaume na jamii nzima ya Watanzania
Kama mwanasiasa unayejinasibu umetukosea sana. Kwetu tulio waumini wa imani yake mwanaume ni heshma. Ukimdharau mwanaume umemdharau aliyempa mamlaka
Hilda unaweza kuwa sahihi kwa wanaume unaowajua wewe ila wengine ambao tuna wanaume wa shoka viongozi wetu, watoto wetu wa kiume, kaka zetu, waume zetu. baba zetu wakituhadithia walivyoenda vitani uganda umetukosea mno kuipigania nchi umetukosea sana
View attachment 2132164
MUNGU Ibariki Tanzania
Germany naona kama yupo kwenye Process...Putin will win the battle but he will loose the war at the end. He will cripple Ukraine but he will never rule it. People are agitating, taking matter on their own hand. The start of his demise and that of his empire start in winning Kiev. Ukraine has such a wonderful President. In the face of danger against him, he has decided to stay and fight unlike the Afghanistan president. Also German and Nato will pay for being a bystander. It is such hopeless that they dont want to ban Russia from SWITF transactions medium. He need to feel the full blunt of his decision to sign the decree to invade. I pray that Kiev hold on for a month just enough for the Russian populace to feel the blunt of the sanctions and start asking question. It is easy to contain a well fed dog than an hangry one. Russians need to feel the pinch of the war from their own pocket.
Hujui kutofautisha na bado umekuja na uzi? Ungefanya background check kwanza.
Wanaume tuna simama na Hilda!
Habari ndiyo hiyo.
Si alikuwa akiigiza kuwa yupo mitaa ya Kyiv, kumbe kishatoroka nchi...Kwenye vita rais atajulikana je alipo?
Kwani hata Putin anajulikana alipo, sembuse Zelensky?
China anaangalia namna jamii ya kimataifa itakavyolichukulia hili jambo. Xi Jinping ana hamu ya kuichukua Taiwan anayoiona kama part ya China. Hata hivyo anaogopa mataifa jirani yataingilia kuipinga. Hivyo hayupo tayari kumsapoti Mrusi asilimia zote maana atamuondolea credibility ikifika atakapotaka kuichukua Taiwan. Halafu bado anaviogopa vikwazo vya wamarekani maana wana biashara zinazofikia trillion moja usd kwa mwaka. Uchumi wa China unaitegemea dunia yenye nembo za kimarekani kama SWIFT, masoko ya mitaji na wanunuzi wa kimarekani na technologia ya kimarekani. Kwenye semiconductors marekani bado ana hodhi technologia ya kuzitengeneza na akizizuia viwanda vingi vya China vitalala maana bado wanategemea technologia ya marekani na Ulaya kuendesha biashara yaoHata mchina rafikiye wa kufa na kuzikana ashaanza kumgeuka benki zake mbili kubwa zimeaanza i.e.Chinese banks limit financing for Russian purchases. . Putin hata akishinda ila kiuchumi atakuwa kapoteza vingi na hapo ndipo ninapoona kweli US baba lao kapigana vita haramu nyingi tu but si urusi wala china waliomwekea vikwazo vya biashara maana walijua wanaihitaji sana US na rafikize aisee kweli bosi anuniwi!
Muongelee huyu kwanzaKwahiyo sababu yeye yuko gerezani ndio wanaume wote wavae mawig na madera!?
Huoni hizo maiti za chini zinazoungua zina bendera za Ukraine za manjano?Tusidanganyane Russia kashindwa ingia Kyiv
View attachment 2132163
Mji Mkuu wa Ukraine wamechakazwa hasa, labda watumie drone
Huyu bint naut zimekatikaga long tu naona baada ya kukosa dili la kuwa covid 19 amekuwa mropokaji
Amekosea wapi?Hilda Newton kama ni wewe kweli watake radhi wanaume na jamii nzima ya Watanzania
Kama mwanasiasa unayejinasibu umetukosea sana. Kwetu tulio waumini wa imani yake mwanaume ni heshma. Ukimdharau mwanaume umemdharau aliyempa mamlaka
Hilda unaweza kuwa sahihi kwa wanaume unaowajua wewe ila wengine ambao tuna wanaume wa shoka viongozi wetu, watoto wetu wa kiume, kaka zetu, waume zetu. baba zetu wakituhadithia walivyoenda vitani uganda umetukosea mno kuipigania nchi umetukosea sana
View attachment 2132164
MUNGU Ibariki Tanzania
Mimi na kubali huwezi kulinganisha uchumi wa N Korea na Japan au S. Korea lkn kusema TZ wamewazidi hiyo hapana nakataa kabisa! Nakubaliana na wewe kwamba wasingekuwa na Sera walizonazo sasa wangekuja mbali Sana ebu fuatilia documentary neutral za maisha yao ndio utakapoona yanayosemwa dhidi yao mengi ni propaganda yaani hawako vibaya kulinganisha na nchi zetu nyingi za kiafrika. Nchi inayoweza kutengeneza nuke na kuzi maintains, pia inaweza kuunda silaha zake yenyewe sio Kununua pia ku maintains jeshi kubwa zaidi haiwezi kuwa na uchumi wa hovyo kama tunavyoaminishwa.Acha uongo bwana, North Korea wana nini cha kusema ebu angalia South Korea au Japan kisha linganisha hivyo vitu unavyoongelea.
Tuongee tu ukweli bila ushabik, hiyo North Korea kama wasingekuwa na huo mfumo wa utawala walionao sasa leo hii wangekuwa wapi kiuchumi,
Acheni propaganda za kwenye vijiwe vya kahawa bwana.
Amekosea wapi?
Hasa wanaume wa ccm.