Teknocrat
JF-Expert Member
- Oct 20, 2018
- 4,967
- 11,056
Sio muda mrefu miaka kadhaa iliyopita mwanzoni mwa 2000, bongo walijaa makahaba wa kirussia kutokana na hali mgumu ya maisha Russia.
Baadae hali ikawa shwari Russia ilivyoaanza kuuza gesi na mafuta na tukaanza kuona watalii wa Russia badala makahaba.
Sasa watarudi tena ndio ujue mabeberu wameikamata dunia.....
Baadae hali ikawa shwari Russia ilivyoaanza kuuza gesi na mafuta na tukaanza kuona watalii wa Russia badala makahaba.
Sasa watarudi tena ndio ujue mabeberu wameikamata dunia.....