LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

Live coverage on JamiiForums
Sio muda mrefu miaka kadhaa iliyopita mwanzoni mwa 2000, bongo walijaa makahaba wa kirussia kutokana na hali mgumu ya maisha Russia.
Baadae hali ikawa shwari Russia ilivyoaanza kuuza gesi na mafuta na tukaanza kuona watalii wa Russia badala makahaba.
Sasa watarudi tena ndio ujue mabeberu wameikamata dunia.....
 
Kwani Mkuu mlikaa kikao na Urusi mkakubaliana by 3 days muwe mmchukua Ukraine yote au Putin aliwahi kueleza kwamba ndani ya siku 3 atakuwa ameimaliza Ukraine???,Au wewe utalaamu wako wa mambo ya vita yanataka within 3 days uwe tayari umeteka Nchi nzima??.
Mwulize huyo ndezi US alipigana miaka mingap Afghanstan
 
Kama mtu kudai katiba mpya kidogo tu, wapuuzi wamekimbilia kumuita gaidi. Unadhani wanaweza kua na ujasiri wa kwenda vitani?

Kwahiyo sababu yeye yuko gerezani ndio wanaume wote wavae mawig na madera!?
 
Hilda Newton kama ni wewe kweli watake radhi wanaume na jamii nzima ya Watanzania

Kama mwanasiasa unayejinasibu umetukosea sana. Kwetu tulio waumini wa imani yake mwanaume ni heshma. Ukimdharau mwanaume umemdharau aliyempa mamlaka

Hilda unaweza kuwa sahihi kwa wanaume unaowajua wewe ila wengine ambao tuna wanaume wa shoka viongozi wetu, watoto wetu wa kiume, kaka zetu, waume zetu. baba zetu wakituhadithia walivyoenda vitani uganda umetukosea mno kuipigania nchi umetukosea sana

View attachment 2132164


MUNGU Ibariki Tanzania
Hehee
 
Putin will win the battle but he will loose the war at the end. He will cripple Ukraine but he will never rule it. People are agitating, taking matter on their own hand. The start of his demise and that of his empire start in winning Kiev. Ukraine has such a wonderful President. In the face of danger against him, he has decided to stay and fight unlike the Afghanistan president. Also German and Nato will pay for being a bystander. It is such hopeless that they dont want to ban Russia from SWITF transactions medium. He need to feel the full blunt of his decision to sign the decree to invade. I pray that Kiev hold on for a month just enough for the Russian populace to feel the blunt of the sanctions and start asking question. It is easy to contain a well fed dog than an hangry one. Russians need to feel the pinch of the war from their own pocket.
Germany naona kama yupo kwenye Process...

Berlin discussing export of RPGs to Ukraine via third country

Germany’s government is in talks over the approval of the delivery of 400 rocket-propelled grenades to Ukraine by a third country but no decision has been taken, the country’s defence ministry says.

If carried through, the move would signal a major policy shift after Berlin faced criticism for refusing to send weapons to Kyiv, unlike other Western allies.

Source AJ English
 
Hata mchina rafikiye wa kufa na kuzikana ashaanza kumgeuka benki zake mbili kubwa zimeaanza i.e.Chinese banks limit financing for Russian purchases. . Putin hata akishinda ila kiuchumi atakuwa kapoteza vingi na hapo ndipo ninapoona kweli US baba lao kapigana vita haramu nyingi tu but si urusi wala china waliomwekea vikwazo vya biashara maana walijua wanaihitaji sana US na rafikize aisee kweli bosi anuniwi!
China anaangalia namna jamii ya kimataifa itakavyolichukulia hili jambo. Xi Jinping ana hamu ya kuichukua Taiwan anayoiona kama part ya China. Hata hivyo anaogopa mataifa jirani yataingilia kuipinga. Hivyo hayupo tayari kumsapoti Mrusi asilimia zote maana atamuondolea credibility ikifika atakapotaka kuichukua Taiwan. Halafu bado anaviogopa vikwazo vya wamarekani maana wana biashara zinazofikia trillion moja usd kwa mwaka. Uchumi wa China unaitegemea dunia yenye nembo za kimarekani kama SWIFT, masoko ya mitaji na wanunuzi wa kimarekani na technologia ya kimarekani. Kwenye semiconductors marekani bado ana hodhi technologia ya kuzitengeneza na akizizuia viwanda vingi vya China vitalala maana bado wanategemea technologia ya marekani na Ulaya kuendesha biashara yao
 
Kwahiyo sababu yeye yuko gerezani ndio wanaume wote wavae mawig na madera!?
Muongelee huyu kwanza

1645896309792.png
 
Tusidanganyane Russia kashindwa ingia Kyiv
View attachment 2132163
Mji Mkuu wa Ukraine wamechakazwa hasa, labda watumie drone
Huoni hizo maiti za chini zinazoungua zina bendera za Ukraine za manjano?

Unahitaji nikuoneshe? Na lugha wanayozungumza hao askari ni kirusi.

Ukraine ndiyo wamechomeka hapo

Screenshot_20220226-201647.png

Hao waliyouliwa ni wanajeshi wa Ukraine. Kwanza upande wa kushoto kwenye kifua cha maiti inayopekuliwa ni bendera ya Ukraine.

Pili, kwenye hii vita wanajeshi wa Russia wamefunga kitambaa cheupe kwenye mikono yao. Kama huyo jamaa anayeipekua hiyo maiti. Ukraine wamejifunga kitambaa chekundu kama hiyo maiti ya chini inayopekuliwa.

Hao waliyochapika ni Ukraine.
Screenshot_20220226-201725.png

Upande wa kushoto begani mwa mwanajeshi aliyeuliwa na kupekuliwa umeiona manjano ya bendera ya Ukraine? Na amefunga kitambaa chekundu?

Hivyo mkiambia Ukraine wanapigika na kuchomeka kuungua muelewe. Na Zelensky anavyoomba misaada ana maanisha kweli wanajeshi wake wanateketea.
 
Huyu bint naut zimekatikaga long tu naona baada ya kukosa dili la kuwa covid 19 amekuwa mropokaji

Wanamdanganya kumsupport kwa kauli kama hizi akiwa mwanasiasa anayeendelea na siasa
 
Hilda Newton kama ni wewe kweli watake radhi wanaume na jamii nzima ya Watanzania

Kama mwanasiasa unayejinasibu umetukosea sana. Kwetu tulio waumini wa imani yake mwanaume ni heshma. Ukimdharau mwanaume umemdharau aliyempa mamlaka

Hilda unaweza kuwa sahihi kwa wanaume unaowajua wewe ila wengine ambao tuna wanaume wa shoka viongozi wetu, watoto wetu wa kiume, kaka zetu, waume zetu. baba zetu wakituhadithia walivyoenda vitani uganda umetukosea mno kuipigania nchi umetukosea sana

View attachment 2132164


MUNGU Ibariki Tanzania
Amekosea wapi?
Hasa wanaume wa ccm.
 
Acha uongo bwana, North Korea wana nini cha kusema ebu angalia South Korea au Japan kisha linganisha hivyo vitu unavyoongelea.

Tuongee tu ukweli bila ushabik, hiyo North Korea kama wasingekuwa na huo mfumo wa utawala walionao sasa leo hii wangekuwa wapi kiuchumi,

Acheni propaganda za kwenye vijiwe vya kahawa bwana.
Mimi na kubali huwezi kulinganisha uchumi wa N Korea na Japan au S. Korea lkn kusema TZ wamewazidi hiyo hapana nakataa kabisa! Nakubaliana na wewe kwamba wasingekuwa na Sera walizonazo sasa wangekuja mbali Sana ebu fuatilia documentary neutral za maisha yao ndio utakapoona yanayosemwa dhidi yao mengi ni propaganda yaani hawako vibaya kulinganisha na nchi zetu nyingi za kiafrika. Nchi inayoweza kutengeneza nuke na kuzi maintains, pia inaweza kuunda silaha zake yenyewe sio Kununua pia ku maintains jeshi kubwa zaidi haiwezi kuwa na uchumi wa hovyo kama tunavyoaminishwa.
 
Back
Top Bottom