Odhiambo cairo
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 15,989
- 22,078
Yuko sahihi .Hilda Newton kama ni wewe kweli watake radhi wanaume na jamii nzima ya Watanzania
Kama mwanasiasa unayejinasibu umetukosea sana. Kwetu tulio waumini wa imani yake mwanaume ni heshma. Ukimdharau mwanaume umemdharau aliyempa mamlaka
Hilda unaweza kuwa sahihi kwa wanaume unaowajua wewe ila wengine ambao tuna wanaume wa shoka viongozi wetu, watoto wetu wa kiume, kaka zetu, waume zetu. baba zetu wakituhadithia walivyoenda vitani uganda umetukosea mno kuipigania nchi umetukosea sana
View attachment 2132164
MUNGU Ibariki Tanzania
Hakuna mwanachama mpumbavu na mjinga wa bawacha kama Hilda ni mpuuzi tuu . Wanaume tumempuuza
Sent from my Mito A67 using JamiiForums mobile app
Intercontinental ballistic missile
Huyu wenzake wakibeba bunduki yeye atabeba nini kama sio Jelly?Ametoa kauli tuvae madera!?
Hivi Uvccm, mnahangaika ili Cdm wafanye kosa lakini inashindikana .Amesema ukweli.
Mateso anayopitia Freeman Mbowe unaweza kuamini Bavicha ina vijana wa kiume au ni branch ya Bawacha?!!!
Unajiita Dr hata kusoma hujui wapi ameandika wañaume wa Dar pekeeYeye alimanisha wanaume wa darisalama siyo wa mikoani buana et mara mura
Kwani Urusi anatengeneza Silaha kwa ajili USA tu? Swali la kujiuliza Urusi ana muweza USA kijeshi? Hivi mnakumbuka USAR ilikuwa na nguvu zaidi duniani lkn unakumbuka nini kiliitokea mpaka ikasambaratika? Nani alihusika na kusambaratika kwa USSR? US walihusika kwa asimia 💯. US hatujawahi kusambaratika tangu miaka hiyo, unafikiri nguvu walizonazo Hadi kwa sasa ikoje? Tukubali Marekani Wananguvu kubwa Kijeshi, kiuchumi na kiumoja wa taifa. Ni taifa lenye uzoefu mkubwa kwy mambo ya kivita kuliko taifa lolote duniani? Nitaifa lenye zaida miaka 200 katika miaka hiyo ni miaka 20 pekee tu ndio wajapigana lkn zaidi ya miaka 180 wanashiriki kwy vita mbalimbali duniani. Urusi ni taifa lenye mikwara mingi lkn hakuna kitu. US ndio taifa pekee duniani ambalo limetumia nuclear weapons live Nagasaki na Yeloshima miaka hiyo ya 1945 ambapo hakuna Nchi nyingine waliokuwa na Technojia hiyo, jiulize Hadi sasa wapo Advanced kiasi gani?"HICHO UNACHOSEMA SIO SAHIHI"
Ni Wapi imeandikwa kwamba silaha za nyuklia zipo kwa ajili ya kutishia (deterrence)??--- na hata kama zipo kwa ajili ya kutishana je huko kutishiana kutadumu kwa muda gani??, ---je hao viongozi wanaotishana watadumu madarakani milele ili waendelee kutishana na hizo nyuklia bombs??!-au kuna mikataba wameandikiana kwamba silaha hizo ni kwa ajili ya kutishana tu au hayo ni mawazo yako unayotaka tuamini hivyo??!-- Muamerika alipopiga atomic bomb/nuclear bomb kule Japan alikuwa kamtishia??!!, angalia usitake kutuaminisha hizo conspiracy theories zako hapa.
Russia wanajua kwamba wakati wowote USA anaweza kutumia Nuclear bomb dhidi yake kama jinsi alivyotumia huko Japan au jinsi alivyotupa mabomu ya sumu huko Vietnam kwa jinsi hiyo Russia amedevelop advance shielding systems (S 400 nk,) ili kujikinga na mashambulizi ya silaha za angani ikiwa ni pamoja na makombora ya nuclear, isitoshe ame develop secret weapons zenye speed more than 5 mach (hypersonic speed) nk, hii yote ni kupambana na USA kama vita vya nuclear vitatokea.
Sasa usitake kutuaminisha kwamba silaha za nyuklia walizolundika ni kwa ajili ya kutishana tu, je wewe umeingia ndani ya vichwa vyao na kujua hilo au wewe umeingia ndani ya vichwa za viongozi wajao wa nchi hizo kujua kwamba katika zama zao hizo silaha za nyuklia zitakuwa ni kwa ajili ya kutishiana nyau tu ??!!🤣🤣
Think broadly na acha conspiracy theories.
Lkn ndo mlo wanyakuwa na kuwafanya wakuu wa wilaya na wengine mawaziri....wengine 19 mme wakumbatiaVijana wengi wa Chadema hawajielewi
Yupo sahihi, mwanaume alikua ni JPM tu
Yupo sahihi kwa nani mkuu??Yupo sahihi...
Jiji hili 2015-2020 lilikuwa CHINI ya bavicha na kina mwita na kubenea hakula lolote walijaa wapuuzi tuTena kwa wingi wa kura CCM ilizopata Dar, hii mianamume mioga yote ni mataga.
Au unamuinaje katibu mwenezi wa kijani? Mtoto laini, Mtoto cake
Urusi harudishagi maiti za Askali wake. Maiti za Wanajeshi wa Urusi zimezagaa Kiev mpaka Rais wa Ukraine amewaomba shirika la Msalaba Mwekundu kwenda Kuziondoa.Hivi vita kwa sasa bado ila pale warusi watakapoingia kwenye jiji kama Kiev na wanajeshi wa Ukraine kuvua magwanda na kuvaa kiraia ndio warusi wataimba kikwao.
Kule nyumbani Russia wananchi wataanzisha maandamano nchi nzima kudai askari wao warudi nyumbani baada ya kuanza kuona mifuko ya plastiki zenye maiti za wanajeshi wao zikirejeshwa nyumbani.
Huo muda unakuja na hauko mbali na tena itakuwa ni mbaya kuliko ile ya wamarekani kule Iraq.
My Take: Inaonekana huu ndio mwisho wa utawala wa mbabe Putin na atakuwa ni Hitler mwingine sidhani kama mwaka 2023 Russia itakuwa tena na Putin kama rais wao.
Ninachoona, baada ya Putin kuondoka "Post Putin Russia", nchi hiyo itabadilika sana na itakuwa kama Japan au Ujerumani kwani wataachana kabisa na mambo ya vita "Belligerency" na watajikita zaidi kwenye mambo ya maendeleo ambapo baada ya miongo kadhaa watakuja kuwa na uchumi wa pili kwa ukubwa duniani.
Sababu mnapata mawigi na madera