LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

Live coverage on JamiiForums
Kwenye nuclear urusi ni no 1
 
Kuna kipi kinachukuonyesha kwamba alishinda Afghanistan.
 
Eukraine mwenyewe haiwezi Urusi hilo lipo wazi. Ndio maana anahitaji dunia imsaidie, ndio maana raia wake wanaume 18-60 wanatakiwa wasiondoke wapigane.

Asiposaidiwa atapigwa kila mtu anajua hilo. Puttin anaua ndugu zake walio dhaifu kulinganisha na uwezo wake kivita.
 




Usiwalishe watu matango pori...
Aliyekufa amevaa chekundu na huo mkono unaosachi umevaa nyekundu...

Hao waliochomwa ni wanajeshi wa russia, je ni kivip? fuatilia kinachoendelea...........


 
Tunapata mawigi na madera vipi wakati tunasimama na Hilda kuwananga wanaume wa bongo?

Kiswahili kimekuwia kigumu hivyo kuelewa?

Msema kweli ni mpeni wa Mungu - huu uzi bidada umechemka chemu!

Yaani mnapambania kumvisha Sugu wigi na dera🤣🤣🤣
Nyie hatari sana

Mtaji wa mwanasiasa ni watu na working capital yake ni maneno yaani kauli zake

Kwa kauli kama hizi za kuwaambia baba zenu wavae madera vijana mnatakiwa kupelekwa darasa la siasa
 
Still we shall miss Angela Merkel. Olaf is no match to that woman. At the moment Germany risk being a pariah state because it has been refusing to put sanctions on energy sector because one third of its energy it use is delivered from Russia. Also its car industry is so dependent on Russia raw materials and market s. This is something that Deutsche should have learn not to depend on one country for your major export or import. Putin prepared for this war since 2007. When he went after Georgia he was testing his army redness and he went further and annexed Crimea Europe valued its Business instead of refusing. Merkel with her flaws she had nerves to tell any man no. This coward of a chancellor..no!. Also USA should do more to counter that man. He will now go after Finns, Swedes, Polish, Hungary, Moldova and Romania. All use to be a sphere of influence within the USSR.
Olaf needed to send those weapons in January when things were escalating but he vetoed it when it was brought up in Brussels. He is relenting now because the pressure is intense at the moment.
 
Imeidhalilisha kivipi Kwanza watashinda.
Watashinda kwa gharama kubwa ya vifaa, uhai wa askari wait na vikwazo vikali vya kiuchumi.

Huenda hii Vita ikawa mwanzo wa anguko la Putin kwenye siasa za Urusi.......ikionekana hii Vita inachukua muda mrefu na gharama kubwa huku vikwazo vya kiuchumi zikiilenga nchi huenda raia wa Urusi wakaingia mitaani kumpinga dictator.
 
Kakosea wapi ?
 
Vita ni mbaya sana, sio ya kuomba itokee nchini kwako
 
Hii Vita wameileta makusudi ili kunigombanisha na mke wangu mama mwanyilu, maana jana nilirudi usiku nikamwambia nilikuwa nasaidia Vita Ukraine yeye haelewi ameomba talaka..!
 
Mkuu hiyo russia interms of GDP kapitwa na South Korea na hata india. Russia wengi wanatamani watoke waende Western countires maana huko russia hamna maisha kama ya nchi za west. Watalii wa kirusi wakija bongo hata spending huwezi linganisha na za western countries. Compare hata waliosoma Russia na UK US na utaona tofauti ya kipato pindi wanapokuwa wametoka masomoni. Angalia hata wafanyabiashara wawili ngozi nyeusi waliokufa Mengi na Mufuruki walisoma Scotland na Germany sasa angalia product za Russia i.e. akina Dr Shika!!! waliosoma Russia wengi huwa wana frustation fulani hivi.
 
Hii Vita wameileta makusudi ili kunigombanisha na mke wangu mama mwanyilu, maana jana nilirudi usiku nikamwambia nilikuwa nasaidia Vita Ukraine yeye haelewi ameomba talaka..!
Mkuu kama unaijua njia ya kwenda ukraine nifahamishe nimechoka nchi ya wazurulaji




Ova.
 
Sahau Hilo we unafikiri wenyewe kabla ya vita hawakupiga mahesabu?hao wanaplan zao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…