[emoji16][emoji16][emoji16] Jumuia ya Umoja wa kimataifa itamuacha mrusi akotoe huo msaada!? Expecialy NATO !?Ndio mbinu kama unataka kuvamia taifa lingine kwakisingizio unaenda kutoa msaada wa kijeshi.
Wavaa vipesi mnapenda sana. Utafaidi nini watu wakifa?kama atafanikiwa itapendeza sanaaa
Atakapo kufa askali wa US kwa risasi ya Urusi,hapo ndio ulimwengu utajua au haujujiNaona putin ameamua kuanzia huko kwa kisingizio cha waasi.
Utabiri ya US unaweza kuwa kweli.
Hivi Myahudi hana mpango wa kutinga Ukraine?Atakapo kufa askali wa US kwa risasi ya Urusi,hapo ndio ulimwengu utajua au haujuji
kwahiyo unachanganya Madawa kwa maksudi kwasababu kiwango chako cha uwongo BADO hakijatimia na kikitmia utakuja na version gani? 😊😊
Kuna msaada kuutoa ni mpaka upate Access na unayempatia msaada. Hapo tunaweza kusema NATO wangemwekea Russia kauzibe.[emoji16][emoji16][emoji16] Jumuia ya Umoja wa kimataifa itamuacha mrusi akotoe huo msaada!? Expecialy NATO !?
Take it from me, hakuna vita hapo!
Kwa watu wa dini wenye mioyo minyoofu, hiyo ni ishara kubwa sana kwamba sasa uovu wa wanadamu umefikia kikomo kama ilivyokuwa wakati wa Gharika na Sodoma na Gomora...
Hao NATO usiwategemee kuingia vitan kuisaidia Ukraine,walishasema wataweka vikwazo vya kibabe na kusambaza misaada ya kibinaadam kwa waathirika[emoji16][emoji16][emoji16] Jumuia ya Umoja wa kimataifa itamuacha mrusi akotoe huo msaada!? Expecialy NATO !?
[emoji2][emoji2][emoji14][emoji14][emoji14]Atakapo kufa askali wa US kwa risasi ya Urusi,hapo ndio ulimwengu utajua au haujuji
Mkuu keshaingia sasa, waeleze US na NATO wamdundeAingie tuu aone atakavyofanywa kama Iran kwenye uchumi hadi watamtimua wa Russia wenyewe.
Ukraine yupo katika wakati mgumu sana pengine wanajuta kuwa katika eneo la kimkakati.
Aidha wachague vita wachakae,ama wakubali kuwa watumwa wa russia.
Ukraine Wakichagua vita basi ujue nchi itakuwa uwanja wa mapambano na tutaona miamba yote duniani ikionyesha war technology zake.
Hakuna sehemu NATO walisema wataingiza jeshi kupambana na Russia.Mkuu keshaingia sasa, waeleze US na NATO wamdunde
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] Russia Kesha ingia Sasa , unalipi jipya !? Futa hii comment please .. then muachage kuifananisha Russia na vitu vya kijingaAingie tuu aone atakavyofanywa kama Iran kwenye uchumi hadi watamtimua wa Russia wenyewe.
Nani alisema Russia hata ingia? NATO wamekuwa clear kwamba Russian akiingia atakumbana na msururu wa vikwazo hakuna sehemu walisema wataingiza jeshi kupigana.[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] Russia Kesha ingia Sasa , unalipi jipya !? Futa hii comment please .. then muachage kuifananisha Russia na vitu vya kijinga
leteni tena hizi twaarab MKUUAingie tuu aone atakavyofanywa kama Iran kwenye uchumi hadi watamtimua wa Russia wenyewe.
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]Nani alisema Russia hata ingia? NATO wamekuwa clear kwamba Russian akiingia atakumbana na msururu wa vikwazo hakuna sehemu walisema wataingiza jeshi kupigana.
Mwenye wajibu wa kupigana ni Ukraine kwa sababu sio member wa NATO hakuna wanajeshi wa NATO wataenda mstari wa mbele labda kutoa usaidizi wa vifaa,tiba na pesa na mafunzo nothing else.
Kwa hiyo tunasubiria msururu wa vikwazo