LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

Live coverage on JamiiForums
Mpaka sasa hivi kinachompa Putin wakati mgumu ni propaganda za marekani, kwamba atakapovamia Ukraine basi atakua amewaprove right marekani kitu ambacho Putin ataki sababu hii itawapa credit marekani.

Kinachowapa nguvu wamarekani ni teknolojia waliyonayo wanajua kinachoendelea mpaka mwa Russia na Ukraine, katikati ya wiki Russia walisema vikosi vinarudi kwenye Kambi zake kumbe ilikuwa ni kinyume vikosi vilikuwa vinaongezeka na marekani kama kawaida amejua kupitia satellite na anaendelea na propaganda na hii inaendelea kumpa Putin wakati mgumu.
 
Russia asifikiri hii itakuwa ni Crimea nyingine na asifikiri akiivamia Ukraine dunia watabaki wamekaa tu kwenye fensi.

Ukraine lazima watapigana kuilinda nchi yao na mataifa marafiki hawatakuwa mbali nao ila shida itakuwa kwa Russia kwani madhara watakayopata uchumi wao utawapelekea kuwa The Banana Republic.
 
Ninachoamini Mimi ni kuwa Propaganda za Marekani hazina tishio kwa Russia. Suala la picha za Satellite kuonyesha hili ni jambo la kawaida kwa hizi nchi kubwa. Kumbuka hizi nchi kubwa including China zina mifumo ya Satellite huko juu.

Sio kwamba Russia ana nguvu kuliko USA , anajua ukubwa wa USA tena + NATO ila ni dhahiri huyu Russia amedhamiria kuingia Vitani linapokuja suala la Ukraine kujiunga na NATO. Kwa Russia ni maslahi ya Usalama zaidi .

Dunia inatakiwa watu kama hawa ambao wakipiga Mkwala hata giant kama Marekani anataharuki. Vinginevyo akibaki Kiranja mmoja tu ni rahisi kuwachapa fimbo akijisikia tu
 
Ninachoamini Mimi ni kuwa Propaganda za Marekani hazina tishio kwa Russia. Suala la picha za Satellite kuonyesha hili ni jambo la kawaida kwa hizi nchi kubwa. Kumbuka hizi nchi kubwa including China zina mifumo ya Satellite huko juu.

Sio kwamba Russia ana nguvu kuliko USA , anajua ukubwa wa USA tena + NATO ila ni dhahiri huyu Russia amedhamiria kuingia Vitani linapokuja suala la Ukraine kujiunga na NATO. Kwa Russia ni maslahi ya Usalama zaidi .

Dunia inatakiwa watu kama hawa ambao wakipiga Mkwala hata giant kama Marekani anataharuki. Vinginevyo akibaki Kiranja mmoja tu ni rahisi kuwachapa fimbo akijisikia tu

Well said
 
Anajifanya mjinga, ila pindi atakapovamiwa hawataacha kaa ona rangi zate wavamizi...
 
Taifa la Ukraine ni miongoni mwa nchi zinazomiliki silaha za Nyuklia na makombora ya masafa marefu

Ni taifa kubwa tu la watu milioni 45 kulingana na takwimu za mwaka 2020

Jamaa wana silaha za kila aina lakini wanapigwa biti na mrusi wanaufyata

Kila mtu anaijua nguvu ya Putin na Urusi,lakini nachotaka kusema hapa ni kuwa, kama nchi nyingine tusiwe kama Ukraine

Hata kama ni Russia na manguvu yote ukraine alitakiwa akitishiwa kuvamiwa naye aonyeshe misuli ya umwamba

Taifa la watu milioni 45 sio taifa dogo wakuu ni taifa ambalo linaweza kuwa na uwezo wa kutunisha misuli kwa taifa hata lenye watu milioni 300

Sasa wapo milioni 45 wanakua waoga hivyo na wanaonyesha udhaifu mkubwa,jee wangekua milioni 3 au 4 jee?


Taifa la watu milioni 45 mkiamua kuwekeza kwenye jeshi na uwezo mkubwa mnauwezo wa kulitunishia misuli dola lolote hapa ulimwengu, milioni 45 inakutosha kuwa superpower nawe ukatunisha misuli

Na silaha za nyukilia wanazo lakini wamekua watu waoga hivyo?Vita ikitokea Ukraine wakijipanga wakipigana na Russia hata kama mrusi atashinda lakini wangemuachia russia makovu fulani au kumporomosha kiuchumi,kwamba vita viww virefu vya kufa na kupona.

Ukraine anapitwa hadi na nchi kama Israel ambayo ina idadi ndogo lakini wanatunishia misuli madola makubwa,kila kitu ni kujipanga,Israel sio wengi ni nchi ndogo lakini kijeshi wanajitahidi vipi hao ambao wapo milioni 45 na wamejionyesha dhaifu hivyo

Una makombora ya masafa marefu yanayofika Moscow halafu unatishiwa kuvamiwa?Kwanini usitamke wazi kabisa kwamba ukivamiwa utaishambulia Moscow kwa makombora ya masafa marefu?

Hii nchi ni ya ajabu sana....Mimi kwa hili nasimama na Urusi katika huu mgogoro lakini Ukraine wanafeli sana masilaha yote hayo lakini wameshindwa hata kupiga mkwara tena watavamiwa na hawatafanya kitu,hawa jamaa ni useless kabisa

Ukraine hawafai kuigwa
Hawa ni wajinga na waoga sana,wangejifunza kwa Cuba na Vietnam zilivyosimama ngangari dhidi ya ubabe wa USA,wakiendelea kumtetemekea Mrusi,atakuwa ana washika makalio kila wakati.
 
Ninachoamini Mimi ni kuwa Propaganda za Marekani hazina tishio kwa Russia. Suala la picha za Satellite kuonyesha hili ni jambo la kawaida kwa hizi nchi kubwa. Kumbuka hizi nchi kubwa including China zina mifumo ya Satellite huko juu.

Sio kwamba Russia ana nguvu kuliko USA , anajua ukubwa wa USA tena + NATO ila ni dhahiri huyu Russia amedhamiria kuingia Vitani linapokuja suala la Ukraine kujiunga na NATO. Kwa Russia ni maslahi ya Usalama zaidi .

Dunia inatakiwa watu kama hawa ambao wakipiga Mkwala hata giant kama Marekani anataharuki. Vinginevyo akibaki Kiranja mmoja tu ni rahisi kuwachapa fimbo akijisikia tu
only west has right to promote so_called democracy and human right not Russia. Kigingi kilichobakia kwa usa ni urusi akimuweka chini huyu bas dunia nzima take mchina mwoga tuu hapa putin anatakiwa kuchanga karata vizuri
 
Hali siyo nzuri katika majimbo ya Donesk na Luhansk, waasi wamefanya mashambulizi katika ardhi ya Ukraine na kuuwa wanajeshi wa 2 wa Ukraine.

Viongozi wa majimbo wameita vijana wote kuchukua silaha kwa ajili ya kupambana na majeshi ya Ukraine.

Huku hayo yakiendelea Urusi imesema kuwa vikosi vya Ukraine hapo juzi vilifanya mashambulizi kwenye ardhi yake karibu na mpaka wa nchi izo mbili.

Kwa upande wa Nato imetangaza kutoa wafanyakazi wake kwenye mji mkuu wa Ukraine
 
kiukweli katika watu naweza kuwa sehemu ya ulimwengu kujenga na kujuana nao kirafiki ni moja ya ukraini

hawa ndugu zangu wanaweza kuonesha kuwa hata mwenye nguvu tunaweza kumuonesha.

IMG_4942.jpg

IMG_4943.jpg

IMG_4944.jpg
 
Jamaa wanahisi africa tuko dark hatupati hizo info
 
Yeye: They have a strong army.
Wewe: Respect bro

Yeye: In Africa, they also talk about this situation? Or did you watch American news?
Wewe: Africa there support you 100% but media not show.

Mimi: WTF 😂😂😂😂
 
Back
Top Bottom