Hilda Newton kama ni wewe kweli watake radhi wanaume na jamii nzima ya Watanzania
Kama mwanasiasa unayejinasibu umetukosea sana. Kwetu tulio waumini wa imani yake mwanaume ni heshma. Ukimdharau mwanaume umemdharau aliyempa mamlaka
Hilda unaweza kuwa sahihi kwa wanaume unaowajua wewe ila wengine ambao tuna wanaume wa shoka viongozi wetu, watoto wetu wa kiume, kaka zetu, waume zetu. baba zetu wakituhadithia walivyoenda vitani uganda umetukosea mno kuipigania nchi umetukosea sana
View attachment 2132164
MUNGU Ibariki Tanzania
Kwahiyo mkuu unaamin hadi sasa warusi hawajauliwa wao ni robots? hakuna vita isiyo na madhara pande zote japo kwa sasa taarifa ni nyingi sana wewe amin unacho kiamini ila jua hata hao warusi unao waamini wapo walio marehemu kwa sasa.Mkuu, hilo BM 21 imeachwa tu. Mashambulizi yakizidi mashine ikizingua unakimbia na kuiacha mashine. Ni kama sisi kipindi cha uchaguzi 2020 baada ya wanajeshi wengi wa mipakani kuondolewa kupelekwa Znz, wale magaidi wa Msumbiji walifanya ambush Tz. Wanajeshi waliyozidiwa waliacha kifaru na kukimbia na kwenye vita ni kitu cha kawaida.
Hilo mosi. Pili, nataka kuona video zinazoonyesha wanajeshi wa Russia waliyouliwa kwa hiyo idadi wanayoitaja wao (3500). Kama hawana video basi angalau picha. Ukiingia mtandaoni utaona picha 3, 4, au 6 zikionyesha wanakeshi wa Urusi wawili au wa 4 wameuliwa. Kama hilo wameliweza kwa nini wasitupatie zinazolingana na idadi wanayoitaja wao (3500)? Au angalau zinazoendana na uwiano wa hiyo idadi (3500)?
Ninazo picha na video zinazoonyesha vifaru n.k za Ukriane zikiharibiwa kwa kushambuliwa.
Nimeona video za Ukraine baada ya kushushiwa kichapo, yaani maiti zao. Kwa nini hakuna video au picha kwa wingi zinazoonyesha miili ya wanajeshi wa Urusi kwa idadi hiyo wanayoitangaza? Wanasema wamewaua warusi 3500. Watupatie uthibitisho. Mbona wanamgambo wa dola ya Chechen iliyomo ndani ya Urusi wameonyesha leo wakiwaua 4?
Kwa nini kwa Urusi hawaonyeshi ili tukubaliane na takwimu wanayoitoa?
Huyu dada kasema ukweli mtupu hakuna alipokosea,tukirudi enzi za mwendazake wanaume wote waligeuzwa wanawake hakuna mwanaume hata mmoja aliyesema fyoko enzi zake wakiongozwa na akina Nape na waliotinga Ikulu kumpigia magoti mwanaume mwenzao utafikri wana wake vile,aliyekuja kutia fora zaidi ya wote ni Ndugai.
Tanzania wanaoweza wakajiita wanaume ni wachache sana kama akina Tundu Lissu na wenzake wachache waliokataa kuvalishwa magauni na mwendazake, wengine waliosalia ni akina Ndugai walio kubali kuwa wanawake wakuvalishwa magauni na wanawake.
Kwahiyo unataka tumvishe kaka freeman wig na dera, na mnyika na baba chanja wangu. Hii kauli kutolewa na mwanasiasa sio kabisa. Hili ni tusi
Kwako wewe sio kwa wanaume wote
ikibidi atavishwa tu , mbele ya ukombozi hakuna cha mswalie mtume .Kuwaambia baba zake wavishwe madera na mawigi
Au babako ushamvika!?
Mume wako ndiye angekuwa wa kwanza kuingia uvunguni mwa kitanda.
Unadhani vita ni kuoneshana maiti tu siyo?Mkuu, hilo BM 21 imeachwa tu. Mashambulizi yakizidi mashine ikizingua unakimbia na kuiacha mashine. Au ikishambuliwa unatoka mnajibu mashambulizi, mnaliacha kwa sababu limeshaharibika.
Ni kama sisi kipindi cha uchaguzi 2020 baada ya wanajeshi wengi wa mipakani kuondolewa kupelekwa Znz, wale magaidi wa Msumbiji walifanya ambush Tz. Wanajeshi waliyozidiwa waliacha kifaru na kukimbia na kwenye vita ni kitu cha kawaida.
Hilo mosi. Pili, nataka kuona video zinazoonyesha wanajeshi wa Russia waliyouliwa kwa hiyo idadi wanayoitaja wao (3500). Kama hawana video basi angalau picha. Ukiingia mtandaoni utaona picha 3, 4, au 6 zikionyesha wanakeshi wa Urusi wawili au wa 4 wameuliwa. Kama hilo wameliweza kwa nini wasitupatie zinazolingana na idadi wanayoitaja wao (3500)? Au angalau zinazoendana na uwiano wa hiyo idadi (3500)?
Ninazo picha na video zinazoonyesha vifaru n.k za Ukriane zikiharibiwa kwa kushambuliwa.
Nimeona video za Ukraine baada ya kushushiwa kichapo, yaani maiti zao. Kwa nini hakuna video au picha kwa wingi zinazoonyesha miili ya wanajeshi wa Urusi kwa idadi hiyo wanayoitangaza? Wanasema wamewaua warusi 3500. Watupatie uthibitisho. Mbona wanamgambo wa dola ya Chechen iliyomo ndani ya Urusi wameonyesha leo wakiwaua 4?
Kwa nini kwa Urusi hawaonyeshi ili tukubaliane na takwimu wanayoitoa?
Huu ukweli unaweza kuwa unawahusu bavicha kwa mkataba wao na mbowe na sio wanaume wote wa Tanzania
Hoja yangu si kwamba Warusi hawafi! Wanakufa vizuri tu. Idadi ya Warusi waliyokufa iliyotangazwa na wao ni 30 na kitu. Tuseme wamepunguza namba. Hata tuseme hata 100 nitakubaliana nayo.Kwahiyo mkuu unaamin hadi sasa warusi hawajauliwa wao ni robots? hakuna vita isiyo na madhara pande zote japo kwa sasa taarifa ni nyingi sana wewe amin unacho kiamini ila jua hata hao warusi unao waamini wapo walio marehemu kwa sasa.
Nimeona mwanajeshi wa Russia anapigwa risasi juu ya gari akaanguka akamaliziwa chini aiseeKwahiyo mkuu unaamin hadi sasa warusi hawajauliwa wao ni robots? hakuna vita isiyo na madhara pande zote japo kwa sasa taarifa ni nyingi sana wewe amin unacho kiamini ila jua hata hao warusi unao waamini wapo walio marehemu kwa sasa.
Yaani mnapambania kumvisha Sugu wigi na dera🤣🤣🤣
Nyie hatari sana
Mtaji wa mwanasiasa ni watu na working capital yake ni maneno yaani kauli zake
Kwa kauli kama hizi za kuwaambia baba zenu wavae madera vijana mnatakiwa kupelekwa darasa la siasa